ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WAKENYA WANASUBIRI KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WILLIAM RUTO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 16, 2022
in HABARI
0
WAKENYA WANASUBIRI KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WILLIAM RUTO
0
SHARES
225
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wakenya wanasubiri rais mteule William Ruto kuapishwa rasmi ikiwa ni siku moja baada ya kutangazwa mshindi huku viongozi wa mataifa mbalimbali wanaendelea kumpongeza na kumtakia mema.

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

 

–

 

 

Kwa mujibu wa katiba,rais mteule anapaswa kuapishwa Jumanne ya kwanza inayoangukia kipindi cha wiki mbili baada ya kutangazwa rasmi iwapo hakuna kesi yoyote ya kupinga matokeo inayowasilishwa kwenye mahakama ya juu kabisa ya nchi.

 

 

–

 

 

 

Endapo kesi yoyote inawasilishwa,rais mteule ataapishwa siku ya saba baada ya mahakama ya juu kuitoa uamuzi wake.

 

 

–

 

 

Kufikia sasa hakuna aliyewasilisha kesi mahakamani. Akitoa tathmini yao ya uchaguzi, mwenyekiti wa ujumbe wa Jumuiya ya Afrika Mashariki rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete amesisitiza juu ya umuhimu wa kuufuata mchakato wa sheria.

 

–

 

 

Walalamishi wana muda wa wiki moja kuwasilisha kesi mahakamani.

 

 

 

–

 

Credit – DW

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In