ADVERTISEMENT
Klabu ya Yanga imeujuza umma leo mapema Agosti 12, 2022 kuhusu kuagana na aliyekuwa Afisa habari na Mawasiliano katika klabu hio Bw. Hassan Bumbuli kwa kuonyesha kuguswa na mchngo wake katika kukamilisha majukumu ndani ya klabu.
ADVERTISEMENT