ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, June 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

AJALI YAUA WATU 27 CHINA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Sep 19, 2022
in HABARI
0
AJALI YAUA WATU 27 CHINA
0
SHARES
51
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

Jun 1, 2023

MAYELE;- TUNAENDA KUSHINDA KWAO USM ALGER

May 31, 2023

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

May 31, 2023
Load More

 

Watu 27 wamefariki dunia na wengine 20 wamejeruhiwa baada ya basi lililokuwa likiwapeleka kwenye kituo cha karantini ya Uviko19 kupinduka katika jimbo la Guizhou nchini China.

ADVERTISEMENT

 

 

–

Ajali hiyo imeamsha hasira kali mitandaoni kutoka kwa wale wanaoikosoa sera ya Uviko19 ya China.

 

 

–

Sera hiyo inahusisha watu wengi kupimwa na kufuatiliwa. Wale wanaokutwa na virusi vya ugonjwa huo pamoja na watu wao wa karibu hutakiwa kujitenga nyumbani au kwenye vituo vya karantini.

 

ADVERTISEMENT

 

Wakati dunia ikijaribu kuishi na Uviko19, China ndio nchi pekee kubwa ambayo bado inaipa kipaumbele vita dhidi ya virusi hivyo.

 

 

–

Mamilioni ya watu hupanga foleni kupimwa ugonjwa huo kila baada ya siku tatu ili kuweza kupata ruhusa ya kuingia kwenye majengo ya umma na hata baadhi ya maduka.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM
HABARI

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU
HABARI

MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
YALIYOJIRI KWENYE KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 21, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO MEI 31, 2023

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
HABARI

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa  mkoani Tabora
HABARI

TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa mkoani Tabora

by I am Krantz
May 30, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In