ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BIDHAA ZENYE VIAMBATO SUMU ZATEKETEZWA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Sep 1, 2022
in HABARI
0
BIDHAA ZENYE VIAMBATO SUMU ZATEKETEZWA
0
SHARES
53
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

Feb 7, 2023

NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

Feb 7, 2023

CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY

Feb 6, 2023
Load More
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa za aina mbalimbali zenye viambato sumu ambazo hazikidhi matakwa ya viwango za uzito wa tani tisa zenye thamani ya shilingi milioni 400.
–
Akizungumza Mkuranga mkoani Pwani Kaimu Mkurugenzi wa Usimamizi na Utekelezaji wa Sheria wa TBS, Dkt, Candida Shirima, amesema kuwa shehena ya bidhaa zilizoteketezwa zina uzito wa tani 9 na nyingi ni vipodozi vyenye viambata sumu ambayo vimeshapingwa marufuku kwa mujibu wa sheria ya viwango sura 130.
–
Dkt Shirima amesema kuwa viambata sumu hivyo ni aina ya Zebaki,hydroquinone na steroids ambayo ni hatari kwa afya ya watumiaji wa vipodozi kwani husababisha madhara mbalimbali kama vile ya ngozi muwasho, ngozi kuwa nyekundu, laini,saratani madhara ya figo na uzazi.
Aidha ameitaka jamii kuepuka kutumia vipodozi vyenye viambata sumu na vilivyopigwa marufuku kama ambavyo imekuwa ikishauriwa na kusisitizwa na mamlaka hiyo pamoja na wataalamu wa afya ili kulinda afya.
–
Pia amewataka wananchi kuangalia muda wa matumizi kwenye bidhaa hususani vyakula kabla ya kununua au kuzitumia huku wafanyabishara kuhakikisha kuwa wanazingatia sheria na kanuni na viwango ili kutoingiza nchini,kuzalisha,kuuza au kusambaza bidhaa zisizokidhi vigezo vya ubora na usalama ili kuwalinda watumiaji na kukuza uchumi wa nchi.
Kwa upande wake Kaimu Meneja Kanda ya Mashariki wa TBS, Fransis Mapunda amesema kuwa bidhaa hizo zilizotekezwa wamezikamata katika maeneo mbalimbali ikiwemo mkoani Morogoro, Pwani na Zanzibar huku akiwataka wafanyabishara kutokujihusisha na bidhaa zisizokidhi vigezo.
–
“Zoezi la ukaguzi ni endelevu katika maeneo yote hivyo sehemu yoyote mtu atakayejihusisha na biashara ambazo hazikidhi matakwa ya sheria atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa sheria zilizowekwa kwa masilahi mapana ya taifa kwa ujumla”amesema Mapunda
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY
HABARI

CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
MAN CITY YASHTAKIWA, KUPUNGUZWA POINTI AU KUSHUSHWA DARAJA
HABARI

MAN CITY YASHTAKIWA, KUPUNGUZWA POINTI AU KUSHUSHWA DARAJA

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
TIGO KWENDA KUMKABIDHI  GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA
HABARI

TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

by ALFRED MTEWELE
Feb 6, 2023
SHOTI YA UMEME YAUA MAMA AKIMUOKOA MTOTO WAKE
HABARI

SHOTI YA UMEME YAUA MAMA AKIMUOKOA MTOTO WAKE

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
AFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU
HABARI

AFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In