ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MAYWEATHER KUZICHAPA NA MJAPANI JUMAPILI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Sep 22, 2022
in MICHEZO
0
MAYWEATHER KUZICHAPA NA MJAPANI  JUMAPILI
0
SHARES
155
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

 

BINGWA wa mataji 15 ya dunia katika mchezo wa masumbwi duniani, FLOYD MAYWEATHER Jr, atarejea ulingoni jumapili hii, Septemba 25, kuvaana na mkali wa Mixed Marshall Arts (MMA), Mjapani MIKURU ASAKURA.

 

–

 

Pambano hilo litakalopigwa nchini Japan, linakuwa pambano la nne la maonesho (Exhibition bout), tangu FLOYD astaafu rasmi masumbwi ya ushindani mwaka 2017, kwa rekodi ya kushinda mapambo yote 50 aliocheza.

 

 

–

 

Pambano la kwanza alicheza mwaka 2018 dhidi ya mkali wa kick boxing, TENSHIN NASUKAWA, la pili mwaka 2020 dhidi ya LOGAN PAUL na la tatu mwaka 2022 dhidi ya DON MOORE na yote aliibuka mshindi

 

–

 

MAYWEATHER anaripotiwa kupiga pesa ndefu sana kupitia mapambano haya, hasa kwenye kutazama kwa kulipia (Pay per view ‘PPV).

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’
HABARI

ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA
HABARI

ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI
HABARI

MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA
HABARI

TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO
HABARI

FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In