ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SERIKALI YAFAFANUNUA ZILIPO TRILIONI 360

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Sep 23, 2022
in HABARI
0
SERIKALI YAFAFANUNUA ZILIPO TRILIONI 360
0
SHARES
140
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

Jun 7, 2023

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD

Jun 7, 2023

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

Jun 7, 2023
Load More

 

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.

ADVERTISEMENT

 

Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.

 

Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.

 

Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.

 

ADVERTISEMENT

Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER
HABARI

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

by ALFRED MTEWELE
Jun 7, 2023
KIKOSI KAZI MTEGONI/MEMBE AFUNGUKA/ACT YATEMA CHECHE/PABLO APATA KIGUGUMIZI……….MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 30 MEI 2022
HABARI

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 7, 2023
BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI
HABARI

BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE
HABARI

TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO
HABARI

EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
AHMED ALLY-“TULICHEZA FAINALI CAF 1993, ITABAKI KUWA HIVYO”
HABARI

AHMED ALLY-“TULICHEZA FAINALI CAF 1993, ITABAKI KUWA HIVYO”

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In