ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, October 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SPIKA TULIA AMEITAKA SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA KUDHIBITI VIKUNDI VYA UHALIFU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Sep 15, 2022
in HABARI
0
SPIKA TULIA AMEITAKA SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA KUDHIBITI VIKUNDI VYA UHALIFU
0
SHARES
85
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

Sep 29, 2023

TSO WAZINDUA GALA DINNER

Sep 29, 2023

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

Sep 29, 2023
Load More

 

 

Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson ameitaka Serikali Kushughulikia vikundi vinavyofanya matukio ya Uhalifu ikiwemo “Panya Road” baada ya kukithiri kwa matukio yanayoathiri maisha ya watu na mali zao yanayofanywa na vikundi hivyo

 

 

 

Spika Dkt. Tulia ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge wa viti maalum Mhe Bahati Ndingo kutoa hoja ya kuomba Bunge liahirishwe Kwa muda ili kujadili jambo hilo kama jambo la dharula linalosimama kwenye hoja ya usalama wa Raia na Mali zao

 

 

Hata hivyo spika wa bunge, alikataa ombi la Mbunge huyo na kusema kanuni ya Bunge ya 54 inatoa fursa kwa Mbunge kusimama na kueleza suala analotaka lijadiliwe na endapo Spika ataridhika atampa fursa ya kueleza na Kisha atatoa hoja ili Bunge wajadili lakini kwa mujibu wa kanuni ya 55 jambo hilo linapaswa kushughulikiwa na Serikali kwa utaratibu wa kawaida.

 

 

Hoja ya Mbunge imekuja siku moja baada kutokea kwa tukio la kikundi cha wahalifu kuvamia na kupora mali na fedha kujeruhi watu watatu na kusababisha kifo cha mtu mmoja katika eneo la Kawe Mzimuni manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In