ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, June 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WAZIRI UMMY “DAWA ZA ARV, MALARIA NA KIFUA KIKUU ZINATOLEWA BURE”

Pwani, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Sep 8, 2022
in HABARI
0
WAZIRI UMMY “DAWA ZA ARV, MALARIA NA KIFUA KIKUU ZINATOLEWA BURE”
0
SHARES
95
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

May 31, 2023

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA BALOZI MPYA WA CUBA

May 30, 2023

UMUHIMU WA KULA MATUNDA NA MBOGA MBOGA

May 30, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
Serikali kwa kushirikiana na Global Fund bado zinaendela kukabiliana na magonjwa ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria kwa kuhakikisha matibabu ya magonjwa hayo yanapatikana bure na kwa urahisi katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya nchini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na mgeni wake Bw. Peter Sands Mtendaji Mkuu wa Global Fund walipotembelea Zahanati ya Disunyara iliyopo Wilaya ya Kibaha kuona hali ya utoaji huduma na utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya magonjwa hayo
Waziri Ummy ameishukuru Global fund kwa kuendelea kufadhili upatikaji bure wa dawa za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV), vipimo vya haraka vya utambuzi wa ugonjwa wa Malaria, Sindano za Malaria kali, Dawa za Malaria (ARU) pamoja na tiba ya ugonjwa wa Kifua Kikuu.
Hata hivyo Waziri Ummy amewatahadharisha wachanchi kuepuka kununua dawa, vipimo, sindano za Malaria kali kwa kuwa zinatolewa bure ikiwemo pamoja na tiba ya Kifua Kikuu na Ukimwi.
Waziri Ummy ameshukuru Global Fund kwa kuipatia Tanzania zaidi ya Shiligi. Trilioni 1.5 ndani ya kipindi cha miaka mitatu toka 2020 kwa ajili ya utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria huku pia wakitoa mchango kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19 pamoja na kuimarisha mifumo ya afya.
Kwa upande wake Bw. Peter Sands ameshukuru kwa kupata Mwaliko kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuja nchini na kuona namna Tanzania inavyopambana kukabiliana na Ugonjwa wa Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria.
“Kwa pamoja tumeweza kupata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya magonjwa haya matatu na kuweza kuokoa maisha ya watu na kupunguza kiwango cha maambuki katika magonjwa ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria, bado tuna kazi kubwa sana lakini tumepiga hatua kubwa” amesema Bw. Sands
Amesema kuwa hivi karibuni Rais wa Marekani Mhe. Joe Biden anatarajia kufanya Mkutano kwa ajili ya kuhamasisha upatikanaji wa Shilingi Bilioni 18 (USD) Dola za Marekani kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Global Fund kuwezesha utekezaji wa mapambano zaidi ya magonjwa hayo
ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA
HABARI

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA
HABARI

MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
KUNANI MAGAZETINI LEO JUMANNE TAREHE 22 JUNI
HABARI

KURASA ZA MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 05 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 5, 2023
UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI
HABARI

UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023
Rais Samia Apunguza Tozo Ya Mafuta
HABARI

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaalika Yanga kwa chakula cha jioni kesho Jumatatu

by I am Krantz
Jun 4, 2023
166 New Job Vacancies at TANAPA
HABARI

166 New Job Vacancies at TANAPA

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
September 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« Aug   Oct »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In