ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ADIDAS YAVUNJA MKATABA NA KANYE WEST

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 25, 2022
in MICHEZO
0
ADIDAS YAVUNJA MKATABA  NA KANYE WEST
0
SHARES
133
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Habari Kuu Kwenye Magazeti ya Leo Machi 28,2023

Mar 28, 2023

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023
Load More

 

 

Kampuni ya Adidas imetangaza kuvunja mkataba wa ushirikiano wake na Rapper Ye (Kanye West) leo October 25 na kusema Kampuni hiyo haiwezi kuvumilia chuki au aina yoyote ya matamshi ya chuki na kusisitiza kuwa haikubaliani na kauli za Kanye West za hivi karibuni akihojiwa kwenye podcast ya “Drink Champs” na kusema “naweza kusema kauli yeyote dhidi ya Wayahudi na Adidas haiwezi kuniacha”.

 

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

Sasa ni ramsi kwamba kuanzia sasa uuzaji na uzalishaji wa bidhaa zenye chapa ya ‘Yeezy’ umesimamishwa pamoja na malipo yeyote kwa Ye na kampuni zake pia umesimamishwa ambapo Adidas imesema itapata hasara ya $246 milioni kwa uamuzi huo.

 

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

Kampuni ya Adidas imefanya kazi na Kanye West kuanzia mwaka 2013 lakini Adidas iliweka ushirikiano huo chini ya ukaguzi mapema mwezi huu baada ya Ye kuonekana hadharani akiwa amevaa T-shirt iliyoandikwa “White Lives Matter” ambapo ukiachia Adidas, Kampuni nyingine zilizovunja uhusiano wake na Rapper Kanye ni pamoja na Balenciaga pamoja na jarida maarufu la mitindo Vogue.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
NAIBU WAZIRI “FA” AIUNGA MKONO TAIFA STARS, AFCON 2023
MICHEZO

NAIBU WAZIRI “FA” AIUNGA MKONO TAIFA STARS, AFCON 2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA
MICHEZO

MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
SIMBA VIJANA YALAMBA MIL 500 YA UDHAMINI
MICHEZO

SIMBA VIJANA YALAMBA MIL 500 YA UDHAMINI

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
BACCA’ HAKUAMINI ATAJWA KUANZA DHIDI YA US MONASTIR
MICHEZO

BACCA’ HAKUAMINI ATAJWA KUANZA DHIDI YA US MONASTIR

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
CHAMA AINGIA 10 BORA AFRIKA
MICHEZO

CHAMA AINGIA 10 BORA AFRIKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 22, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In