ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, November 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ADIDAS YAVUNJA MKATABA NA KANYE WEST

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 25, 2022
in MICHEZO
0
ADIDAS YAVUNJA MKATABA  NA KANYE WEST
0
SHARES
188
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

 

 

Kampuni ya Adidas imetangaza kuvunja mkataba wa ushirikiano wake na Rapper Ye (Kanye West) leo October 25 na kusema Kampuni hiyo haiwezi kuvumilia chuki au aina yoyote ya matamshi ya chuki na kusisitiza kuwa haikubaliani na kauli za Kanye West za hivi karibuni akihojiwa kwenye podcast ya “Drink Champs” na kusema “naweza kusema kauli yeyote dhidi ya Wayahudi na Adidas haiwezi kuniacha”.

 

 

 

–

 

Sasa ni ramsi kwamba kuanzia sasa uuzaji na uzalishaji wa bidhaa zenye chapa ya ‘Yeezy’ umesimamishwa pamoja na malipo yeyote kwa Ye na kampuni zake pia umesimamishwa ambapo Adidas imesema itapata hasara ya $246 milioni kwa uamuzi huo.

 

 

 

ADVERTISEMENT

–

 

Kampuni ya Adidas imefanya kazi na Kanye West kuanzia mwaka 2013 lakini Adidas iliweka ushirikiano huo chini ya ukaguzi mapema mwezi huu baada ya Ye kuonekana hadharani akiwa amevaa T-shirt iliyoandikwa “White Lives Matter” ambapo ukiachia Adidas, Kampuni nyingine zilizovunja uhusiano wake na Rapper Kanye ni pamoja na Balenciaga pamoja na jarida maarufu la mitindo Vogue.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

VODACOM YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA ‘SAMBAZA SHANGWE, GUSA MAISHA’ WASHINDI 26 WAIBUKA WASHINDI WA ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO MMOJA WA PESA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10!
HABARI

VODACOM YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA ‘SAMBAZA SHANGWE, GUSA MAISHA’ WASHINDI 26 WAIBUKA WASHINDI WA ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO MMOJA WA PESA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10!

by I am Krantz
Nov 15, 2023
IDENTY – KAMERA YA SIMU KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA UTAMBUZI NA UHAKIKI WA ALAMA ZA KIBIOMETRIKIA
HABARI

IDENTY – KAMERA YA SIMU KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA UTAMBUZI NA UHAKIKI WA ALAMA ZA KIBIOMETRIKIA

by I am Krantz
Nov 9, 2023
RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS WA CAF IKULU YA DODOMA
HABARI

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS WA CAF IKULU YA DODOMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 20, 2023
‘KILA MPINZANI ANATAKIWA KUIHESHIMU SIMBA’ KOCHA ROBERTINHO
HABARI

‘KILA MPINZANI ANATAKIWA KUIHESHIMU SIMBA’ KOCHA ROBERTINHO

by SUZO SHUKRANI
Oct 19, 2023
NEYMAR KUFANYIWA UPASUAJI WA GOTI
HABARI

NEYMAR KUFANYIWA UPASUAJI WA GOTI

by SUZO SHUKRANI
Oct 19, 2023
WATU WAWILI WAFARIKI KWENYE MECHI YA UBELGIJI DHIDI YA SWIDEN
HABARI

WATU WAWILI WAFARIKI KWENYE MECHI YA UBELGIJI DHIDI YA SWIDEN

by SUZO SHUKRANI
Oct 17, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TWEETS

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In