ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BORIS AJIONDOA KINYANG’ANYIRO CHA UWAZIRI MKUU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 24, 2022
in HABARI
0
BORIS AJIONDOA KINYANG’ANYIRO CHA UWAZIRI MKUU
0
SHARES
47
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

Mar 20, 2023

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

Mar 20, 2023

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

Mar 20, 2023
Load More
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uwaziri mkuu wa nchi hiyo.
–

Hatua ya Johson kujiondoa katika kinyanganyiro hicho inampa nafasi kubwa Rishi Sunak kuchaguliwa kushika wadhifa huo ikiwa imepita takribani miezi miwili baada ya kushindwa katika kinyang’anyiro kingine cha kumpata Waziri Mkuu wa Uingereza.
–

Kinyang’anyiro cha kumpata Waziri Mkuu mpya wa Uingereza kinafuatia kujiuzulu kwa Liz Truss, ambaye amehudumu katika wadhifa huo kwa siku 45 pekee.
–

Upinzani mkali katika kinyang’anyiro hicho cha Uwaziri Mkuu nchini Uingereza kilionekana kati ya Boris Johnson na Rishi Sunak.

Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo atatakiwa kuungwa mkono na wabunge wasiopungua mia moja wa chama cha Conservative kwa njia ya kura, shughuli ambayo imepangwa kufanyika baadae hii leo.
–

Habari zaidi kutoka nchini Uingereza zinaeleza kuwa, mpaka sasa Rishi Sunak anaungwa mkono na wabunge takribani 150.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In