ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DKT. TULIA ACHAGULIWA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

Rwanda, Afrika Mashariki

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Oct 11, 2022
in HABARI
0
DKT. TULIA ACHAGULIWA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
0
SHARES
91
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Wajumbe wa Kundi la Kijiografia Kanda ya Afrika la Umoja wa Mabunge Duniani (African Geopolitical Group of IPU) wamemchagua Mhe. Dkt. Tulia Ackson Spika wa Bunge la Tanzania, kuwa Mwenyekiti wa Kundi hilo ambapo atahudumu kwa kipindi cha Mwaka Mmoja.

Aidha kupitia nafasi hiyo atakuwa pia Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya IPU na Kamati ya Uongozi ya Makundi ya Kijiografia.

RelatedPosts

DK. TULIA ATAKA DEGREE ZISITOLEWE KAM PIPI

DK. TULIA ATAKA DEGREE ZISITOLEWE KAM PIPI

Feb 9, 2023

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

Jan 30, 2023

Naibu Waziri Maryprisca “Bei ya Unit ya Maji Haiwezi Kufanana kila Eneo”

Sep 20, 2022
Load More

Nafasi hii ni ya juu kati ya nafasi zinazowakilishwa katika Umoja wa Mabunge Duniani kwa mujibu wa Kanuni za uongozi za Umoja huo.

Maspika mbalimbali kutoka Mabunge ya Afrika yamempongeza Mhe. Dkt Tulia kwa kushika wadhifa huo mara baada ya kuchaguliwa na kuahidi kutoa ushirikiano kwa Mwenyekiti huyo mpya.

Vilevile, Dkt Tulia ameahidi kuendeleza dira na dhamira ya Afrika katika ngazi ya Dunia na kuhakikisha usawa na uwajibikaji wa Mabunge ya Afrika unafikiwa kwa ufanisi wa hali ya juu.

ADVERTISEMENT

Uchaguzi huo umefanyika leo tarehe 11 Oktoba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kigali (KCC) Nchini Rwanda wakati wa Mkutano wa 145 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

ADVERTISEMENT

Related

Tags: BUNGE LA TANZANIA
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In