ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KIMEUMANA KONDE GANG WAIKIMBIA BASATA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 13, 2022
in BURUDANI
0
KIMEUMANA KONDE GANG WAIKIMBIA BASATA
0
SHARES
104
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

 

Uongozi wa Konde Music Worldwide umeingia mitini baada ya kutakiwa kufika Baraza la Sanaa (Basata) kwenye kikao cha kujadili kuhusiana na sakata la kuwatimua wasanii wao Killy na Cheed kwenye leo.

 

 

–

 

Tukio hilo limetokea jana Jumatano, Oktoba 12, 2022 katika ofisi za Basata Kivukoni jijini hapa ambapo kikao hicho ilikuwa kifanyike. Hilo linatokea ikiwa imepita siku moja tangu uongozi wa lebo hiyo utangaze kuachana na wasanii hao kwa sababu ambazo hawakuziweka wazi.

 

 

–

 

Kutokana na hilo, wasanii waliotimuliwa walifikisha malalamiko yao Basata na kulitakiwa kikae kikao cha pande zote mbili kulizungumzia hilo taarifa ambayo inaelezwa walitaarifiwa kwa njia ya barua pepe (email) lakini mpaka inafika saa nane mchana sio Harmonize wala meneja wake waliotokea katika kikao hicho ambacho kilipaswa kuanza saa sita mchana.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

 

–

 

Hata hivyo chanzo kimoja kimesema sababu zilizotolewa na kina Harmonize kushindwa kufika kikaoni ni kwamba hawana nafasi kwa kuwa wanasafari kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya ku ‘shoot’ na kuahidi kwamba wangeweza kufika kikaoni kuanzia Novemba 18, jambo ambalo Basata hawajakubaliana nalo na kutoa amri ya kufika kikaoni wiki ijayo bila kukosa kwa kile walichodai ni kulidharau baraza hilo.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21
BURUDANI

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
CHUCHU HANS AZINDUA TAMTHILIA YAKE
BURUDANI

CHUCHU HANS AZINDUA TAMTHILIA YAKE

by ALFRED MTEWELE
Mar 22, 2023
MWANAMUZIKI AKA AFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA RISASI
BURUDANI

MWANAMUZIKI AKA AFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA RISASI

by Shabani Rapwi
Feb 11, 2023
DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”
BURUDANI

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
BEYONCÉ AVUNJA REKODI TUZO ZA GRAMMY
BURUDANI

BEYONCÉ AVUNJA REKODI TUZO ZA GRAMMY

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
TEMS ASHINDA TUZO YA GRAMMY, NI YA KWANZA KWA MSANII WA KIKE NIGERIA
BURUDANI

TEMS ASHINDA TUZO YA GRAMMY, NI YA KWANZA KWA MSANII WA KIKE NIGERIA

by ALFRED MTEWELE
Feb 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In