ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MAENEO KADHAA DAR KUKOSA UMEME

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 24, 2022
in HABARI
0
MAENEO KADHAA DAR KUKOSA UMEME
0
SHARES
64
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema baadhi ya maeneo katika Mkoa wa Dar es Salaam yatakosa umeme kwa saa 8 leo Jumatatu Oktoba 24, 2022 kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 8 mchana.

–

 Taarifa iliyotolewa leo na Shirika hilo imetaja sababu ya kukosekana nishati hiyo ni kutokana na matengenezo yanayotarajiwa kufanyika ya mtambo namba mbili wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia wa Songas uliopata hitilalfu.

 

 

 

–

 

“Shirika limepanga kufanya matengenezo ya mtambo namba mbili (2) wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia wa Songas uliopata hitilafu. Matengenezo haya yamepangwa kufanyika siku ya Jumatatu Oktoba 24, 2022 kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 8 mchana,” imesema taarifa hiyo na kuongeza.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

“Iwapo matengenezo kwenye mtambo huu yatachelewa kufanyika, itasababisha madhara makubwa kwenye mtambo husika, hali itakayosababisha athari za upatikanaji umeme kwa muda mrefu.” Imesema taarifa hiyo.

 

 

ADVERTISEMENT

–

 

 

Bila kutaja maeneo yatakayoathiriwa na matengenezo hayo, Tanesco imesema “Wakati wa matengenezo haya, baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam yataathirika kwa kukosa umeme.”

 

 

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In