ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MUUGUZI ASHTAKIWA KWA KUUA VICHANGA 7 KWA MAKUSUDI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 20, 2022
in HABARI
0
MUUGUZI ASHTAKIWA KWA KUUA VICHANGA 7 KWA MAKUSUDI
0
SHARES
44
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

Muuguzi (Nesi) ameshitakiwa kwa kuuwa watoto 7 na wengine 10 kuponea chupuchupu. Mojawapo ya viapo vya wataalam wa afya ni kwamba siku zote hawatafanya jambo lolote la kudhuru mgonjwa, lakini hali imekuwa kinyume huko Uingereza.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

Lucy Letby aliyekuwa muuguzi kwenye wodi ya watoto wachanga anashitakiwa kwa makosa ya kuuwa watoto 7 kwa makusudi na kujaribu kuuwa vichanga wengine 10.

 

 

 

Inadaiwa nesi huyo mwenye umri wa miaka 32 alikuwa akiwachoma watoto wachanga sindano iliyojazwa hewa na wengine aliwachoma sindano ya kushusha sukari (insulin).

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

Watoto wengi wanaodiwa kuuwawa na nesi huyo walikuwa njiti. Mara kadhaa nesi huyo alikuwa akiomba kwa wasimamizi wake kwamba anaomba amhudumie mtoto fulani, masaa kadhaa baadae mtoto huyo alikuwa anakufa.

 

 

–

 

 

 

Kesi ya nesi huyo ambayo inasikilizwa katika mahakama ya Manchester huko Uingereza imekuwa kama filamu ya kutisha jinsi mwanamke huyo alivyokuwa anatekeleza mauaji ya vichanga hao ambao hawana hatia yoyote.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In