ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

NETO KULIKOSA KOMBE LA DUNIA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 8, 2022
in MICHEZO
0
NETO KULIKOSA KOMBE LA DUNIA
0
SHARES
60
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

RAIS SAMIA AMEFANYA UTEUZI HUU LEO

RAIS SAMIA AMEFANYA UTEUZI HUU LEO

Jun 7, 2023

UKRAINE YAKUMBWA NA MAFURIKO, BWAWA LAPASUKA

Jun 7, 2023

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

Jun 7, 2023
Load More

Klabu ya Wolves imesema kwamba mshambuliaji wao raia wa Ureno, Pedro Neto, hatoshiriki Kombe la Dunia la 2022 kwa sababu anahitaji kufanyiwa upasuaji wa kifundo cha mguu.

 

 

–

 

 

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, aliumia katika mchezo wao dhidi ya West Ham Jumamosi iliyopita Oktoba 1, alipotolewa baada ya dakika 24 kutokana na jeraha hilo.

 

 

ADVERTISEMENT

–

 

“Kutokana na tathmini zaidi na maoni ya mtaalamu, wiki hii imepangwa kufanyiwa upasuaji. Hii ina maana kwamba, kwa bahati mbaya, hatokuwa sawa kwa Kombe la Dunia lijalo.”” taarifa ya klabu iliongeza.

 

 

 

Neto ameichezea Ureno mara tatu alipokuwa kwenye kikosi chao kwa mechi za hivi karibuni za Ligi ya Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Czech na Uhispania hakucheza pia.

 

–

ADVERTISEMENT

 

Kombe la Dunia litafanyika kuanzia Novemba 20 hadi Disemba 18 nchini Qatar.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD
MICHEZO

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD

by ALFRED MTEWELE
Jun 7, 2023
KIKOSI KAZI MTEGONI/MEMBE AFUNGUKA/ACT YATEMA CHECHE/PABLO APATA KIGUGUMIZI……….MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 30 MEI 2022
HABARI

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 7, 2023
KIKOSI KAZI MTEGONI/MEMBE AFUNGUKA/ACT YATEMA CHECHE/PABLO APATA KIGUGUMIZI……….MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 30 MEI 2022
BIASHARA

KURASA ZA MAGAZETINI LEO JUMANNE TAREHE 06 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 6, 2023
SIMBA SC IMEWAHI KUCHEZA FAINALI CAF 1993
MICHEZO

SIMBA SC IMEWAHI KUCHEZA FAINALI CAF 1993

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
DIAMOND AWEKA KUFURU HII KWA DJIGUI DIARRA
MICHEZO

DIAMOND AWEKA KUFURU HII KWA DJIGUI DIARRA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
KUNANI MAGAZETINI LEO JUMANNE TAREHE 22 JUNI
HABARI

KURASA ZA MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 05 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In