ADVERTISEMENT
“Nyumba ninayoishi nalipa kodi milioni 3 kwa mwezi, mahali yangu bado ni milioni 500. nahongwa kuanzi milioni 15 na kuendelea kwa siku, sijui kupika ugali, matumizi yangu kwa siku ni milioni tatu mpaka sita” amejitapa Agnes akihojiwa Wasafi FM na kuongeza
–
“Mtu wangu wa kunitengeneza kucha na nywele anatoka Dubai, sijawahi kula ugali, siujui mchicha, wali, mlenda sababu sijawahi kula, vyakula vyangu ni pizza na baga. Mimi ni bikra, nina miaka 22”
–
Aidha, socialite huyo wa Kibongo ameweka wazi kuwa hajawahi kuwa katika mahusiano na Uchebe.
ADVERTISEMENT