ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TAKRIBANI WATU 174 WAMEPOTEZA MAISHA INDONESIA KATIKA MECHI YA DERBY

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 2, 2022
in #CHUKUAHII, MICHEZO
0
TAKRIBANI WATU 174 WAMEPOTEZA MAISHA INDONESIA KATIKA MECHI YA DERBY
0
SHARES
101
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Watu 174 wanahofiwa kupoteza maisha na wengine 180 kujeruhiwa huko nchini Indonesia 🇮🇩 kutokana na kukanyagwa baada ya polisi kurusha mabomu ya machozi ili kutuliza ghasia zilizotokea wakati ya mechi ya Debry iliyochezea katika uwanja wa Kanjuruhan nchini humo na kuifanya kuwa moja ya matukio mabaya zaidi ya michezo duniani.

RelatedPosts

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Jan 30, 2023

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

Jan 30, 2023

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

Jan 30, 2023
Load More

 

 

–

 

Ghasia zilizuka baada ya mchezo kukamilika jana jioni Jumamosi, Oktoba 1 na wenyeji Arema FC ya East Java’s Malang city kupoteza dhidi ya Persebaya Surabaya kwa kichapo cha 3-2.

 

 

–

 

 

Baada ya Arema FC kupoteza mchezo huo, maelfu ya wafuasi wa Arema, wajulikanao kama “Aremania” walianza kurusha chupa na vitu vingine kwa wachezaji na maafisa wa soka.

ADVERTISEMENT

 

 

Mashabiki walifurika kwenye uwanja wa Kanjuruhan wakipinga na kuutaka uongozi wa Arema kueleza ni kwa nini baada ya miaka 23 ya michezo ya nyumbani bila kufungwa mechi ile iliisha kwa kupoteza.

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

 

Ghasia hizo zilienea nje ya uwanja huo ambapo takribani magari matano ya polisi yaliangushwa na kuchomwa moto huku kukiwa na machafuko hayo.

 

 

 

Askari wa kutuliza ghasia walijibu kwa kurusha mabomu ya machozi, ikiwa ni pamoja na kuelekea kwenye viwanja vya uwanja, na kusababisha hofu miongoni mwa umati.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

GUSTO AJIUNGA NA CHELSEA
MICHEZO

GUSTO AJIUNGA NA CHELSEA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 NA MAARIFA (QT)
#CHUKUAHII

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 NA MAARIFA (QT)

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN
MICHEZO

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

by ALFRED MTEWELE
Jan 27, 2023
Simba SC Yamtangaza CEO Mpya
MICHEZO

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

by ALFRED MTEWELE
Jan 26, 2023
SAMATTA KUTUA AL AHLY
#CHUKUAHII

SAMATTA KUTUA AL AHLY

by Shabani Rapwi
Jan 25, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In