ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi Octoba 13,2022

Barani Ulaya

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Oct 13, 2022
in MICHEZO
0
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi Octoba 13,2022
0
SHARES
97
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Chelsea linked with return for Nathan Ake » Chelsea News

Manchester City wameziambia klabu kadhaa – ikiwa ni pamoja na Bayern Munich na Inter Milan – ambazo zimeulizia kuhusu upatikanaji wa mlinzi wa Uholanzi Nathan Ake kwamba haitamuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 mwezi Januari. (90Min)

AC Milan wanajiandaa kuanzisha mazungumzo ya mkataba mpya na mshambuliaji wa Ureno Rafael Leao na wangependa kufikia muafaka kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia.

Chelsea wamekuwa wakihusishwa na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 na wanafuatilia mazungumzo hayo kwa karibu. (La Gazzetta dello Sport)

AC Milan wanavutiwa na kiungo wa kati wa Chelsea na England Ruben Loftus-Cheek, 26, ambaye mkataba wake na The Blues unafikia kikomo mwaka 2024. (Calciomercato).

What Joe Shields has done after his Man City farewell and Romeo Lavia's  Southampton transfer - HampshireLive

RelatedPosts

RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA

RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA

Mar 17, 2023

Chelsea Yakubali Ada ya Kuvunja Rekodi ya Uingereza ya £107m Kwa Kiungo wa Benfica

Feb 1, 2023

Chelsea Wameweka dau la Euro 120m (£105.6m) Kumnunua Enzo Fernandez

Jan 31, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Chelsea wanakaribia kufikia makubaliano ya kumteua mkuu wa usajili wa Southampton Joe Shields kama mkurugenzi wao wa masuala ya usajili. (Guardian)

Liverpool gifted answer to midfield woes after LaLiga side give green light  and slash price of Argentine's transfer

Liverpool wanamfuatilia kiungo wa kati wa Real Betis na Argentina Guido Rodriguez, 24, kabla ya dirisha la uhamisho la Januari. (Estadio Deportivo)

Manchester United wameripotiwa “kuongeza nguvu za kumsaka mlinda mlango wa Benfica Odysseas Vlachodimos na wanataka kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Ugiriki, 28, ambaye pia anasakwa na Leicester City. (Sportime )

Brentford wameanza mazungumzo kuhusu mkataba mpya na mshambuliaji wa England Ivan Toney, 26, ambaye anahusishwa na Tottenham. (Football Insider)

Leeds United iko tayari kumpa mkataba mpya ulioboreshwa kiungo wa kati wa Uingereza Jack Harrison, 25, ambaye alikuwa anasakwa na Newcastle United katika dirisha la msimu wa joto. (Football Insider)

Wolverhampton Wanderers wapo kwenye mazungumzo ya kina na kocha wa zamani wa Olympiakos, Pedro Martins, ambaye hivi majuzi alishindwa kuafikiana kuhusu kuwa kocha wa Hull City, huku klabu hiyo ya Molineux ikitafuta mrithi wa Bruno Lage aliyetimuliwa. (Maisfutebol)

SOURCE; BBC SWAHILI

Related

Tags: LIGI KUU ZA BARANI ULAYA
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

MUSONDA AHUSIKA ZAIDI YANGA KUTINGA ROBO FAINALI CAFCC
MICHEZO

MUSONDA AHUSIKA ZAIDI YANGA KUTINGA ROBO FAINALI CAFCC

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
YANGA YAFANYA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU DAR
MICHEZO

YANGA YAFANYA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU DAR

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
MSEMAJI SINGIDA BS AKANUSHA BRUNO KUTUA YANGA
MICHEZO

MSEMAJI SINGIDA BS AKANUSHA BRUNO KUTUA YANGA

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA
MICHEZO

RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
MWENYEKITI WA CHAMA CHA  MABENKI TANZANIA (TBA) AONGOZA MAADHIMISHO  SIKU YA WANAWAKE DUNIANI SEKTA YA MABENKI.
HABARI

MWENYEKITI WA CHAMA CHA  MABENKI TANZANIA (TBA) AONGOZA MAADHIMISHO  SIKU YA WANAWAKE DUNIANI SEKTA YA MABENKI.

by I am Krantz
Mar 17, 2023
TFF YAJA NA JEZI MPYA TAIFA STARS KUTUMIKA AFCON 2O23
MICHEZO

TFF YAJA NA JEZI MPYA TAIFA STARS KUTUMIKA AFCON 2O23

by ALFRED MTEWELE
Mar 16, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In