Afisa Habari wa klabu ya Azam FC Thabiti Zakaria maarufu ZakaZakazi amefungiwa miezi mitatu na kupigwa faini ya Shilingi laki tano (500,000) kwa kosa la kuwatuhumu marefa kuwanyima penati mbili kwenye mchezo Azam FC waliocheza na Tanzania Prisons.
Afisa Habari wa klabu ya Azam FC Thabiti Zakaria maarufu ZakaZakazi amefungiwa miezi mitatu na kupigwa faini ya Shilingi laki tano (500,000) kwa kosa la kuwatuhumu marefa kuwanyima penati mbili kwenye mchezo Azam FC waliocheza na Tanzania Prisons.
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.