ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

UVCCM KATA YA MIBURANI WAMUENZI BABA WA TAIFA MWL. NYERERE

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 14, 2022
in HABARI
0
UVCCM KATA YA MIBURANI WAMUENZI BABA WA TAIFA MWL. NYERERE
0
SHARES
78
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke, Salum Dede, akipanda miti kwenye Zahanati ya Miburani. Leo Oktoba 14, 2022 Maadhimisho ya Miaka 23 kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Kata ya Miburani, Temeke, Dar es Salaam umeadhimisha Kumbukumbu ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kufanya usafi, kupanda miti pamoja na kuchangia damu katika Zahanati ya Miburani.
–
Akizungumza mara baada ya zoezi hilo kukamilisha Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke, Salum Dede ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi, amewataka vijana kujifunza maisha ya baba wa Taifa Mwl.Nyerere kwa vitendo ili matendo ya kiongozi huyo wa kwanza wa Tanzania yaendelee kukumbukwa.
Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke, Salum Dede, akizungumza baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kwenye Zahanati ya Miburani. Leo Oktoba 14, 2022 Maadhimisho ya Miaka 23 kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.
“Ni miaka 23 sasa tangu kifo cha baba wa Taifa na Temeke sisi tuna Kata 23 ndiyo maana sisi tumelibaba kwa uzito jambo hili la kumuenzi Baba wa Taifa. Niwaombe sana vijana wa Temeke kutumia hazina ya wazee wetu na kuwa chachu ya kuishi kwa vitendo” alisema Dede Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke.
–
Naye Mtendaji Kata ya Miburani, Msiye Ngoi amewapongeza vijana hao wa UVCCM kata ya Miburani kwa kuona umuhimu wa kujitoa na kuwataka kuendelea kujitoa mara kwa mara. “Nawapongeza sana UVCCM Kata ya Miburani kwa kuona umuhimu wa kumuenzi baba wa Taifa kwa kufanya usafi, kupanda miti na kuchangia damu, ili ni Jambo la muhimu sana na tunawashukuru kwa moyo wenu huu wa kujitolea” amesema Ngoi.
Baadhi ya wachangiaji damu.
Kwa upande wake, Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Miburani, Keith Lupakisyo Mwambungu, amewashukuru vijana hao kwa kujitolea kufanya shughuli za kijamii kwa kufanya usafi na kuchangia damu katika Zahanati hiyo.
–
“Natoa Shukrani za dhati kwenu kwa niaba ya uongozi wa Zahanati ya Miburani kwa kuamua kujitolea kufanya shughuli za kijamii kwa kufanya usafi na kuchangia damu, Mungu awabariki kwa moyo huu” amesema Mwambungu.
Baadhi ya Viongozi na Waanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakiga makofi kama ishara ya Pongezi wakati wa Zoezi la kupandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani. Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya Miaka 23 Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.

 

 

RelatedPosts

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

Mar 24, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Machi 24,2023

Mar 24, 2023

MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA

Mar 23, 2023
Load More

 

 

 

Diwani wa Kata ya Miburani, Mhe. Juma Rajabu Mkenga akipanda mti kwenye Zahanati ya Miburani, baada ya kufanya usafi katika Zahanati hiyo Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

 

ADVERTISEMENT
Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke, Salum Dede pembeni yake Katibu wa UVCCM Kata ya Miburani, Mariam Ramadhani wakiwa katika zoezi la upandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani, baada ya kufanya usafi katika Zahanati hiyo Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

 

 

Katibu wa UVCC Kata ya Miburani, Mariam Ramadhani, akipanda mti katika moja ya eneo la Zahanati ya Miburani, baada ya kufanya usafi katika Zahanati hiyo Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Katibu wa UVCCM wilaya ya Temeke, Salum Dede pembeni yake Katibu wa UVCCM Kata ya Miburani, Mariam Ramadhani wakiwa katika zoezi la upandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani, baada ya kufanya usafi katika Zahanati hiyo Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.
Baadhi ya Viongozi wa Jumuhia ya Wazazi na UWT na Waanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walioshiriki kwenye Zoezi la kupandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani. Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya Miaka 23 Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.

 

Baadhi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na UVCCM wakifurahia jambo baada ya kushiriki kwenye Zoezi la kupandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani. Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya Miaka 23 Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere.

 

 

Baadhi ya wachangiaji damu.

Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Miburani, Merry Materu akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya zoezi la usafi na upandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani, kukamilisha, Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

 

ADVERTISEMENT

 

Katibu wa CCM kata ya Miburani, Amir Matimbwa, akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya zoezi la usafi na upandaji miti kwenye Zahanati ya Miburani, kukamilisha, Leo Oktoba 14, 2022. Maadhimisho ya miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Machi 24,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA
HABARI

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA
HABARI

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI
HABARI

ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati
HABARI

NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati

by I am Krantz
Mar 23, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Machi 23,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In