ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WAKULIMA WAGOMA KUUZA KOROSHO MNADANI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 22, 2022
in BIASHARA
0
WAKULIMA WAGOMA KUUZA KOROSHO MNADANI
0
SHARES
116
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wakulima wa korosho wa wilaya za Tandahimba na Newala mkoani Mtwara wamegoma kuuza korosho zao ambazo ni zaidi ya tani 1,600 kwa bei ya juu ya shilingi 2,011 kwa kilo na bei ya chini ya shilingi 1,630 kwa kilo, kwa madai kuwa bei hiyo ni ndogo na haina faida kwao.

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

–

 

 

Wakulima hao wamefikia uamuzi huo wakati wa mnada wa kwanza wa uuzaji korosho kwa msimu wa mwaka huu uliofanyika katika kijiji cha Mitondi B wilaya ya Tandahimba.

 

 

–

 

 

Wamesema bei ambayo imepangwa kwa ajili ya kuuza korosho ni ndogo na kusema wanataka kuuza korosho hizo kati ya shilingi 2, 500 na elfu tatu kwa kila kilo moja ya korosho.

 

ADVERTISEMENT

–

 

 

Wakulima hao wa korosho wa wilaya za Tandahimba na Newala wamegoma kuuza korosho hizo mbele ya mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas, ambaye ndiye aliyezindua mnada wa kwanza wa uuzaji korosho kwa msimu wa mwaka huu mkoani humo.

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

 

Katika uzinduzi huo Kanali Abbas aliongozan na wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Mtwara, wakuu wa wilaya, viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika na viongozi wa vyama vikuu pamoja na viongozi kutoka Bodi ya Korosho Tanzania (CBT).

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TWITTER YATANGAZA KUONDOSHA BLUE TICK KUANZIA APRILI 1
BIASHARA

TWITTER YATANGAZA KUONDOSHA BLUE TICK KUANZIA APRILI 1

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
TCB YATOA MSAADA WA MABATI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI BUTIAMA
BIASHARA

TCB YATOA MSAADA WA MABATI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI BUTIAMA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 22, 2023
MPYA: TigoPesa yazindua Kadi Mtandao (Tigo Pesa Mastercard)
BIASHARA

MPYA: TigoPesa yazindua Kadi Mtandao (Tigo Pesa Mastercard)

by ALFRED MTEWELE
Mar 22, 2023
BRELA YAWATAKA VIJANA KUSAJILI BIASHARA ZAO
BIASHARA

BRELA YAWATAKA VIJANA KUSAJILI BIASHARA ZAO

by ALFRED MTEWELE
Mar 14, 2023
USINUNUE GESI KWA WASIO NA MIZANI
BIASHARA

USINUNUE GESI KWA WASIO NA MIZANI

by ALFRED MTEWELE
Mar 9, 2023
BENKI YA AKIBA WAZINDUA WARIDI AKAUNTI   KWA  WANAWAKE WAJASIRIAMALI
BIASHARA

BENKI YA AKIBA WAZINDUA WARIDI AKAUNTI KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

by I am Krantz
Mar 9, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In