ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WALIMU WALIOVUJISHA MTIHANI DARASA LA 7 WAPANDISHWA KIZIMBANI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Oct 20, 2022
in HABARI
0
WALIMU WALIOVUJISHA MTIHANI DARASA LA 7 WAPANDISHWA KIZIMBANI
0
SHARES
287
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
Walimu saba na wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa Taifa wa Darasa la saba mwaka 2022.
–
Wakisomewa hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Mwandamizi Nassoro Katuga imewataja washtakiwa hao kuwa ni Theresia Chitanda, Elinami Sarakikya, Joyce Nkomola , Lloyd Mpande, Olomy Odongo, Docras Muro na Alcherous Malinzi na Patrick Chawawa.
–
Hati hiyo ya mashtaka wamesomewa Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Pamela Mazengo, ambapo imedaiwa kuwa kati ya Oktoba 2 hadi 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam washtakiwa, walisambaza mtihani huo kupitia mtandao wa kijamii wa Whatsapp na Telegram na kusababisha mtihani huo kuvuja  kwa watu ambao hawakuwa na mamlaka ya kuusimamia.
–
Imeelezwa kuwa katika tarehe hizo hizo Jijini Dar es Salaam mshitakiwa Malinzi alitengeneza nyaraka za uongo kuonesha kama mtihani wa Taifa wa Darasa la saba wa somo la uraia,  Maadili na Maarifa ya Jamii kuwa mitihani hiyo ni ya halali na umetolewa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), wakati akijua kuwa siyo kweli.
–
Baada ya kusomewa mashtaka hayo  washtakiwa wamekana kutenda makosa hayo ambapo miongoni mwa washtakiwa hao mshtakiwa mmoja tu ‘Mpande’ ndiye amefanikiwa kutimiza masharti ya dhamana yaliyokuwa yamewekwa huku wengine wote wakirudishwa mahabusu.
–
Mahakama imewataka washtakiwa hao kila mmoja kuwa na mdhamini mmoja atakayesaini bondi ya Sh. Milioni tano
–
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika hivyo wameiomba mahakama kuipangia tarehe nyingine kwa ajali ya kutajwa na imeahirishwa hadi Novemba 2 mwaka huu.
ADVERTISEMENT

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In