ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Watoto 40 Wafanyiwa Upasuaji wa Moyo JKCI

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Oct 21, 2022
in HABARI
0
Watoto 40 Wafanyiwa Upasuaji wa Moyo JKCI
0
SHARES
61
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

COVID-19: What research says as Tanzania's largest hospital introduces  steam therapy - MedicoPressTZ

Madaktari Bingwa kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na Madaktari Bingwa wa Taasisi ya Mending Kids ya Marekani katika kufanya upasuaji wa bila kufungua kifua kwa watoto 40 wenye matatizo ya moyo.

RelatedPosts

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

Mar 17, 2023

YASTAAJABISHA: VIJANA WANAHITAJI UZA FIGO ZAO

Mar 13, 2023

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

Feb 9, 2023
Load More

Utaratibu wa upasuaji ya watoto  hao, ilianza Oktoba 17 na kuhitimishwa leo Oktoba 21 ambapo upasuaji wa watoto 20 ulihusisha kufungua kifua na wengine 20 matibabu kwa njia ya tundu dogo.

Hayo yameelezwa leo Oktoba 21 Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Dk Peter Kisenge kwenye mkutano na waandishi wa habari akizungumzia  mafanikio ya kambi ya madaktari hao kwenye taasisi hiyo.

ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
October 2022
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Sep   Nov »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In