ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE BADO WAKUMBWA NA MADHILA YA UKATILI

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 23, 2022
in HABARI
0
ASILIMIA 40 YA WANAWAKE BADO WAKUMBWA NA MADHILA YA UKATILI
0
SHARES
28
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

May be an image of 10 people, people sitting and people standingImeelezwa kwamba asilimia 40 ya wanawake wenye umri wa miaka 15-49 wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono mara moja au zaidi katika kipindi cha maisha yao.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, ameyasema hayo akizungumza na waandishi wa Habari pamoja na wananchi katika soko la Kigogo Fresh, Pugu jijini Dar es Salaam tarehe 22 Novemba, 2022 kuelekea siku 16 za kupinga ukatili.
Waziri Dkt. Gwajima amesema taarifa hizo za Utafiti wa Afya ya uzazi na Viashiria vya Malaria inaonesha pia kwa mwaka 2015/16 kwamba asilimia 20 ya wanawake wa umri huo wameingiliwa kimwili bila ridhaa yao.
“Katika kupambana na tatizo la Mauaji na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, jamii yote tunatakiwa kuunganisha nguvu kwenye kubuni mikakati ya kijamii ambayo italeta tija na suluhisho la kudumu. Kwenye maeneo mengi ya nchi kuongezeka kwa uelewa juu ya masuala ya ukatili na madhara yake ni kutokana na utekelezaji wa mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili wa Mwaka 2017/18-2021/22 (MTAKUWWA)” amesema Dkt. Gwajima.
Amebainisha kuwa katika mpango wa MTAKUWWA wa miaka mitano, matokeo chanya yamepatikana kwa kuwashirikisha wananchi wenyewe na hasa kuwahusisha viongozi wa kijamii wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa kimila, wazee maarufu na watu wengine ambao wana sauti ndani ya jamii.
Ameongeza kwamba, katika kukabiliana na vitendo vya Ukatili wa Kijinsia hapa nchini, Serikali kwa kushirikian na wadau, imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuzuia na kukabiliana na vitendo vya ukatili.
Waziri Dkt. Gwajima amewataka wanaume kujitokeza kushiriki kutokomeza vitendo vya ukatili hasa kwa upande wao badala ya kuchukua maamuzi ambayo yana madhara kwa familia na jamii kwa ujumla.
“Serikali kupitia Wizara hii inashughulikia jinsia zote kwa ngazi zote kuanzia Polisi, Magereza, Halmashauri na pia namba 116, elezeni changamoto zenu” ameongeza Waziri Gwajima.
@gwajimad @ortamisemi @wildaftz @16daysofactivismcampaign_tz
May be an image of 3 people, people sitting and people standing

May be an image of 2 people, people sitting and people standing

RelatedPosts

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

Mar 24, 2023

ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI

Mar 23, 2023

AFISA USTAWI AHUKUMIWA JELA MIAKA 30 KWA UBAKAJI

Mar 22, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In