ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ASILIMIA 60 YA KOROSHO KUBANGULIWA NCHINI

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 2, 2022
in HABARI
0
ASILIMIA 60 YA KOROSHO KUBANGULIWA NCHINI
0
SHARES
37
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Mkandarasi Apewa Miezi 4 Shamba la Mbegu Msimba Likamilike

Mkandarasi Apewa Miezi 4 Shamba la Mbegu Msimba Likamilike

Mar 22, 2023

MMFL YAFAFANUA KUHUSU TUHUMA ZA MBOLEA

Mar 16, 2023

VIJANA WALIME WACHANE NA KU-BET

Jan 11, 2023
Load More
May be an image of 9 people and people standing
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali yenye lengo la kuhakikisha asilimia 60 ya korosho zote zinazozalishwa nchini zinabanguliwa ifikapo msimu wa mwaka 2025/2026.
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo  tarehe 31 Novemba, 2022 akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipokuwa akishuhudia tani 7.5 za korosho zilizoongezwa thamani ukisafirishwa kwenda katika soko la kimataifa nchini Marekani na kampuni ya Ward Holding Tanzania (WHT).
“Leo tunashuhudia tukio la kihistoria, ambapo korosho iliyobanguliwa nchini Tanzania inaenda kuuzwa kwa mtumiaji wa mwisho nchini Marekani. Hii ni habari njema kwa wakulima wa korosho nchini na ni matokeo ya kazi nzuri inayofanywa na Rais wetu mpendwa Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kufungua nchi kimataifa, hali inayopelekea kuongeza uhakika wa masoko ya mazao ya wakulima wetu.
Bei ya korosho ghafi nchini ni kati ya 1,800 hadi 2,200 ambapo unahitaji kilo tano za korosho ghafi ili kupata kilo moja ya korosho iliyobanguliwa. Wakati huo huo, bei ya korosho iliyobanguliwa nchini Marekani ni Dola za Kimarekani 40 (sawa na zaidi ya shilingi 90,000 za Kitanzania), hesabu hii inaonesha dhahiri kuwa kuuza korosho iliyobanguliwa kuna manufaa makubwa kwa wakulima wetu na Taifa kwa ujumla.
Wizara ya Kilimo inatekeleza mpango wake wa Ajenda 10/30 wenye lengo la kuhakikisha kilimo kinakua kwa wastani wa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030, msukumo mkubwa kufikia lengo hilo upo katika upatikanaji wa masoko ya uhakika ambayo yatamvutia mkulima kulima kwa tija na faida.
Kila kitu katika bidhaa hii, kuanzia kuibangua na kuiweka kwenye vifungashio vinavyovutia imefanywa hapa hapa Tanzania.Nitoe rai kwa Taasisi za fedha kuendelea kuunga mkono juhudi za wajasiriamali na sekta binafsi kwa ujumla.”Alisema Naibu Waziri Mavunde.
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania,Mhe. Robert Raines ameihakikishia Tanzania ushirikiano wa kutosha ili kuwawezesha wakulima wa korosho kupata soko la uhakika nchini Marekani.
@anthonymavunde @bashehussein
#SSH
#KilimoNiBiashara
#Ajenda10/30
May be an image of 6 people and people standing
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA KILIMO
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

BULEMBO; “FUATENI UTARATIBU UNUNUZI ARDHI”
HABARI

BULEMBO; “FUATENI UTARATIBU UNUNUZI ARDHI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Machi 24,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA
HABARI

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA
HABARI

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI
HABARI

ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati
HABARI

NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati

by I am Krantz
Mar 23, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In