ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

AUAWA KWA KUINGILIA UGOMVI WA MUME NA MKE

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 15, 2022
in HABARI
0
AUAWA KWA KUINGILIA UGOMVI WA MUME NA MKE
0
SHARES
61
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mwanamume mmoja kutoka Gibarori, Kuria Mashariki katika kaunti ya Migori amepoteza maisha baada ya kuawa alipojaribu kuingilia vita vya jirani aliyekuwa akipigana na mke wake.

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

 

 

–

 

Ripoti ya polisi inaonyesha kuwa David Chacha mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akizozana na mke wake Mary Chacha mwenye umri wa miaka 24, ambaye baadaye alitoroka na kukimbilia nyumbani kwa mama mkwe wake.

 

 

 

–

Akiwa na hasira za mkizi, David alimfuata mkewe hadi nyumbani kwa mama yake ambapo alimpokeza kichapo zaidi.

 

ADVERTISEMENT

 

–

Mama yake David, alipiga kamsa ambayo iliwaita majirani ambapo David alimpiga mmoja wa majirani hao na chuma kichwani na kusababisha jeraha kubwa kichwani.

 

 

–

“Polisi walitembelea eneo la tukio na kubaini kuwa David Chacha mwenye umri wa miaka 32, alikuwa na ugomvi wa kinyumbani na mkewe Mary Chacha mwenye umri wa miaka 24.

 

ADVERTISEMENT

 

–

Mkewe alitorokea kwa mamakwe ambapo David alimfuata na kumpiga zaidi,” “Mama mkwe alipiga nduru ambapo jirani Ronald alifika kuwaokoa na kupigwa na chuma kichwani na David,” ripoti ya polisi ilisoma kwa sehemu.

 

 

–

 

Ronald alikimbizwa katika Hospitali ya Mother and Child ambapo alipewa rufaa hadi Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Kehancha na baadaye katika Hospitali ya Migori Level 4 ambapo alithibitishwa kufariki alipowasili.

 

 

–

Mshukiwa alikamatwa katika eneo la Motemorabu alikokuwa ametorokea na kulikuwa na taarifa kwamba alikuwa amekimbilia Tanzania.

 

 

 

–

“Baadaye mshukiwa alitorokea kusikojulikana lakini baadaye alifuatiliwa hadi Motemorabu alikokuwa amejificha,” ripoti ya polisi iliongeza.

 

 

–

 

Mwili wa marehemu ulihamishiwa na kupelekwa katika Hifadhi ya Maiti ya Hospitali ya Kehancha ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa maiti.

 

 

–

 

Chanzo: Tuko

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In