ADVERTISEMENT

Benki ya NMB yazindua Msimu wa #MastaBata KoteKote ambao utahusisha watu kujipatia fedha ya kutosha, Pikipiki na kubwa kuliko zote ni safari ya siku 4 – Dubai BURE! pale tu ukifanya malipo na NMB Mastercard au Lipa Mkononi(QR) unajiwekea kwenye nafasi ya kushinda.
Kampeni hii imezinduliwa na Afisa Mkuu wa Biashara na Wateja Binafsi wa Benki hio- Bw. Filbert Mponzi, Mkuu wa Wilaya Ya Mbeya – Mhe. Dkt. Rashid Chuachua, Afisa Mkuu wa Rasiliamali Watu – Bw. Emmanuel Akonaay, Mkuu wa Idara wa Biashara ya Kadi- Bw. Philbert Casmir pamoja na Mkuu wa Idara ya Wateja Maalum – Bi. Getrude Mallya.
ADVERTISEMENT