ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

CHUPA ILIYOFUKIWA MIAKA 135 YAFUKULIWA YAKUTWA NA UJUMBE HUU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 20, 2022
in HABARI
0
CHUPA ILIYOFUKIWA MIAKA 135 YAFUKULIWA YAKUTWA NA UJUMBE HUU
0
SHARES
4.4k
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

Fundi bomba aliyekuwa anatengeneza katika nyumba moja huko Edinburg hakuamini macho yake alipokutana na chupa iliyofukiwa chini ya sakafu kwa miaka 135.

 

 

 

–

 

 

Fundi huyo, Peter Allan aliikuta chupa hiyo chini ya sakafu wakati akiwa katika ujenzi wake. Alikimbia kwenda kumtaarifu mteja wake juu ya chupa hiyo. Anasema hakuamini macho yake baada ya kuchimba chini umbali mrefu na kuikuta chupa hiyo ikiwa na karatasi ndani yake.

 

 

 

–

 

 

” Niliichukua na kumuonyesha mwenye nyumba nilichokiona,” amesema fundi huyo.

 

 

 

–

 

 

Mteja huyo, Eilith Stimpston alipoivunja alikuta ujumbe ndani yake uliohifadhiwa ndani ya chupa hiyo kwa miaka 135. Inasemekana kuwa chupa hiyo ilifukiwa ndani ya chumba cha nyumba hiyo wakati ilipojengwa.

 

ADVERTISEMENT

 

 

–

 

 

Mwenye nyumba huyo ambaye anaishi na mume wake alisubiri hadi watoto wake wawili walipotoka shule na kuvunja kujua ujumbe gani uliopo ndani yake. Lakini anasema aliogopa kuvunja chupa hiyo yenye miaka 135, lakini ilimbidi afanye hivyo ili kujua kuna ujumbe gani ndani yake.

 

 

–

 

 

Waliporudi alichukua nyundo na kuivunja . Walikuta ujumbe ulioandikwa na mafundi wawili wa kiume ambao waliandika kifuatacho.

 

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

 

” James Ritchie na John Grieve ndio waliotengeneza msingi wa nyumba hii Oktoba 6, 1887, lakini hawakupewa whisky,”.

 

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In