ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

DAKTARI FEKI AKAMATWA KWA KUBAKA WANAWAKE WANNE NA KUMPA MIMBA MMOJA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 23, 2022
in HABARI
0
DAKTARI FEKI AKAMATWA KWA KUBAKA WANAWAKE WANNE NA KUMPA MIMBA MMOJA
0
SHARES
69
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

Mwanaume mwenye umri wa miaka 24 amekamatwa na polisi huko Minna, Jimbo la Niger kwa madai ya kujifanya kama daktari.

 

 

 

–

 

 

Mtuhumiwa huyo aliyefahamika kwa jina la Clement Joseph ambaye alikamatwa Novemba 6, 2022 pia anadaiwa kuwa na tuhuma kwa kufanya vitendo vya ubakaji ambapo ni kinyume cha sheria dhidi ya wanawake wanne na kumpa ujauzito mmoja wao.

 

 

 

–

 

 

Msemaji wa polisi mahala hapo, DSP Wasiu Abiodun, katika taarifa yake alisema mtuhumiwa alikamatwa kwa makosa matatu yakiwamo ya kuiga, kulaghai na kusababisha mimba.

 

ADVERTISEMENT

 

 

–

 

 

“Mshukiwa alikamatwa kwa kujifanya kuwa daktari na kukusanya pesa kwa hila kutoka kwa watu wasio na hatia kwa kisingizio cha uwongo cha biashara feki ya mtandaoni inayoitwa ZUGA COINS” alisema DSP.

 

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

 

Alipohojiwa zaidi, mshukiwa alikiri kuwa na ufahamu kwamba vitendo hivyo ni kinyume cha sheria na pia kuna makosa kwa wanawake wanne aliowaingilia bila ya makubaliano pamoja na kumpa mimba mmoja wao.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In