ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DK. GWAJIMA-WARAKA WA VIBOKO USAMBAZWE SHULENI

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 30, 2022
in HABARI
0
DK. GWAJIMA-WARAKA WA VIBOKO USAMBAZWE  SHULENI
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

May be an image of 4 people, people sitting and people standing

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiomba Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuusambaza waraka wa adhabu za viboko shuleni wa mwaka 2002 ili walimu na wanafunzi wauelewe.

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More
Waziri Gwajima amesema hayo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya haki za watoto yaliyofanyika jijini Dar es salaam Novemba 29, 2022.
Amesema ukatili kwa watoto unaendana na kuudhuru mwili ikiwa ni pamoja na vipigo ikijumuisha adhabu ya viboko vilivyopitiliza mashuleni.
“Hivyo viboko vilivyopitiliza ni ukatili kwa watoto kwakuwa tunao Waraka na 24 wa mwaka 2002 unaosimamia adhabu za viboko mashuleni ambao unasema wazi ni nani mwenye Mamlaka yakutoa adhabu hiyo na viboko vingapi vinaruhusiwa na kwa utaratibu upi. Najua changamoto iliyopo ni usimamizi wa utekelezaji wa Waraka huo, baadhi ya Walimu hawaufuati wanapotoa adhabu, hawa walimu nawataka wabadilike vinginevyo sitamwaacha mwalimu asishtakiwe kwa sheria ya mtoto iwapo atatoa adhabu hiyo nje ya Waraka huo, sitamwacha” amesema Waziri Gwajima.
Aidha amewahakikishia watoto kwamba timu ya Serikali, wadau na jamii watakutana kuona namna nzuri ya kulishughulikia hoja ya viboko kwa kuzingatia maadili na tamaduni katika malezi.
“Inasikitisha kuona baadhi ya watoto wanaacha shule kwa sababu ya kukimbia viboko huku wengine wakipata majeraha makubwa na ulemavu na hata kupoteza maisha eti kwa sababu ya adhabu za viboko, hii haikubaliki kwani hii adhabu ya viboko haikulenga kusababisha mateso kwa watoto na ndiyo maana tunao Waraka”
Ameongeza kuwa Serikali itaziimarisha Kamati za Ulinzi wa Watoto na Wanawke na Madawati ya Ulinzi wa Watoto Mashuleni ili waufahamu Waraka wa Viboko waujue wasifanyiwe kinyume na wakibaini kuwa ni kinyume wapaze sauti haraka.
Waziri Dkt. Gwajima pia amewaonya wanaume wanaobaka na kulawiti watoto kuwa Serikali haiwezi kuvumilia vitendo hivyo na sheria itaendelea kuchukuliwa kwa wote watakaobainika.
Awali, watoto walioshiriki maadhimisho hayo wameeleza baadhi ya hoja zao kwa Waziri ikiwemo kuondolewa adhabu ya viboko shuleni.
May be an image of 1 person, sitting, standing and indoor
May be an image of 2 people, people standing and people sitting
May be an image of 2 people, people standing, indoor and text
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In