ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

FIFA YAITAKA UBELGIJI KUTOA NENO ‘LOVE’ KWENYE JEZI YAO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 21, 2022
in HABARI
0
FIFA YAITAKA UBELGIJI KUTOA NENO ‘LOVE’ KWENYE JEZI YAO
0
SHARES
251
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeitaka timu ya Taifa ya Ubelgiji kuondoa neno “Love” kwenye kola ya jezi zao za ugenini.

 

 

 

–

 

 

Uamuzi huo wenye unakuja siku mbili kabla ya kikosi hicho cha Roberto Martinez kucheza na Canada, Jumatano jioni,mechi yao ya kwanza katika Kombe la Dunia nchini Qatar.

 

 

 

ADVERTISEMENT

–

 

FIFA hawakuwa tayari kwa mazungumzo na walikataa kabisa kujadili suala hilo na Shirikisho la Soka la Ubelgiji. Kwa sasa, Ubeligiji hawajaamua iwapo watakubali ombi la FIFA au laa.

 

 

 

–

 

Jezi hiyo imekuwa ikiuzwa kwa miezi kadhaa na imeonekana kupendwa na mashabiki, na mpango huo wa neno ‘Love’ kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vinasema kuwa haukuwa na uhusiano wowote na kitambaa cha ‘OneLove’ ambacho baadhi ya timu za Ulaya, ikiwa ni pamoja na Ubelgiji, zilitaka kuvaa.

ADVERTISEMENT

 

 

 

–

 

Ubelgiji watahitaji jezi mpya zitengenezwe na kutumwa nchini Qatar kutoka kwa kampuni ya Adidas inayotengeneza jezi hizo.

 

 

 

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In