ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

HAKUNA MTANZANIA ATAKUFA KWA NJAA – BASHE

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 22, 2022
in HABARI
0
HAKUNA MTANZANIA ATAKUFA KWA NJAA – BASHE
0
SHARES
113
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

Mar 20, 2023

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

Mar 20, 2023

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

Mar 20, 2023
Load More
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewahakikishia Watanzania mbele ya Rais Samia leo kwamba hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa kwakuwa Serikali ina chakula cha kutosha.
–

Akiongea mbele ya Rais Samia aliposimama kuwasalimia Wananchi wa Kondoa, Dodoma akiwa njani kwenda Manyara, Bashe amesema “Niwahakikishie Watanzania hakuna Mtanzania atakufanya kwa njaa, Serikali ina chakula cha kutosha na hivi sasa kupitia Wizara, Halmashauri zinaonesha na kutuletea taarifa, pale ambapo bei ya mahindi inakuwa imepanda sana Serikali inapeleka chakula na kuuza kwa bei ya chini ili Wananchi waweze kununua “

–

“Mpaka sasa Mh. Rais, Halmashauri 41 tumeshazipelekea chakula na sisi kama Serikali tunafungua duka chini ya maelekezo ya Halmashauri tunauza vyakula kwa Mwananchi mmojammoja kwa bei ya chini sio kuwauzia Wafanyabiashara”

–

“Nimalizie kuwaambia Wakulima, kama hatutofanya mabadiliko katika Sekta ya Kilimo kipindi hiki, tusahau, tuna Rais ambaye ana utashi wa kisiasa na ana utayari wa kuweka fedha ili kuondoa matatizo yetu, bajeti imekwenda karibu Bilioni 900”
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In