ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, December 9, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 16, 2022
in HABARI
0
MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA
0
SHARES
47
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

 

Maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU) yamepungua nchini kutoka watu 110,000 mwaka 2016/2017 hadi kufikia watu elfu 54 mwaka 2020/2021.

 

 

 

–

 

Kwa mujibu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), idadi ya vifo vinavyotokana na Ukimwi nayo imepungua kutoka vifo elfu 64 mwaka 2016/2017 hadi kufikia vifo elfu 29 mwaka 2020/2021.

 

 

 

–

 

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Leonard Maboko alipokuwa akizungumzia na waandishi wa habari jijini Dodoma, kuhusu maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika Desemba Mosi kila mwaka.

 

 

 

–

Mwaka huu, maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani kitaifa yatafanyika mkoani Lindi.

 

ADVERTISEMENT

 

 

–

 

Maadhimishio hayo yataanza tarehe 24 mwezi huu ambapo kutakuwa na shughuli mbalimbali hadi Desemba Mosi mwaka huu ambapo itakuwa ndio kilele cha siku hiyo.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO DESEMBA 9, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO DESEMBA 9, 2023

by ALFRED MTEWELE
Dec 9, 2023
VIFO HANANG VYAFIKIA 80
HABARI

VIFO HANANG VYAFIKIA 80

by ALFRED MTEWELE
Dec 8, 2023
MVUA CHANZO KUKATIKA UMEME NCHINI
HABARI

MVUA CHANZO KUKATIKA UMEME NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Dec 8, 2023
Marekani Yatoa Msaada Kukabiliana na Mafuriko nchini Tanzania
HABARI

Marekani Yatoa Msaada Kukabiliana na Mafuriko nchini Tanzania

by I am Krantz
Dec 8, 2023
SERIKALI YAAHIDI KULETA AHUWENI HANANG
HABARI

SERIKALI YAAHIDI KULETA AHUWENI HANANG

by ALFRED MTEWELE
Dec 8, 2023
IDADI YA VIFO HANANG YAFIKIA 69
HABARI

IDADI YA VIFO HANANG YAFIKIA 69

by ALFRED MTEWELE
Dec 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TWEETS

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In