ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MARUFUKU KUUZA POMBE VIWANJANI QATAR

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 18, 2022
in HABARI
0
MARUFUKU KUUZA POMBE VIWANJANI QATAR
0
SHARES
105
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

Mar 20, 2023

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

Mar 20, 2023

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

Mar 20, 2023
Load More

 

 

Maafisa wa Qatar wamefanya mabadiliko ya ghafla na kuamua kwamba vinywaji pekee ambavyo vitauzwa kwa mashabiki katika viwanja vya michezo wakati wa Kombe la Dunia la mwezi mmoja vitakuwa visivyo vya kileo.

 

 

 

–

 

Kwa miezi kadhaa FIFA imekuwa ikivutana na Qatar, Taifa la Kiislamu la kihafidhina ambapo uuzaji wa pombe unadhibitiwa vikali.

 

 

 

–

 

Hatua hiyo imekuwa kizungumkuti kati ya FIFA na kampuni ya pombe ya Budweiser iliyoingia nayo mkataba wa udhamini wa dola bilioni 75.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

Sambamba na hilo vikwazo hivyo vimewaghadhabisha mashabiki huku waandaaji wakikumbwa na kizaa zaa kufanyia marekebisho zikiwa zimesalia saa 48 kabla ya mchezo wa ufunguzi siku ya Jumapili.

 

 

–

 

Hata hivyo inaelezwa kuwa FIFA ambayo imekuwa ikikabiliwa na ukosoaji kutokana na uamuzi wa kupeleka mashindano hayo nchini Qatar, huenda ikakosa udhibiti kamili wa maamuzi makubwa kuhusiana na hafla hiyo.

 

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

Mwongozo rasmi wa FIFA kwa mashabiki unabainisha kuwa wenye tiketi wataruhusiwa kutumia bidhaa za Budweiser, Budweiser Zero, na Coca-Cola ndani ya eneo la uwanja kwa walau saa tatu kabla ya mchezo, na kwa saa moja baadaye.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In