ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MASHABIKI WA BRAZIL WAUONA USHINDI MAPEMA

Qatar

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 25, 2022
in MICHEZO
0
MASHABIKI WA BRAZIL WAUONA USHINDI MAPEMA
0
SHARES
72
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

FIFA World Cup 2022: South American Qualifiers, Final Round - Matchday 18 In PicsTimu ya Taifa ya nchini Brazil ndio timu pekee yenye rekodi nzuri katika historia ya soka Ulimwenguni kwa kuchukua jumla ya makombe 5 ya Fainali za michua ya Kombe la Dunia yaliyoandaliwa chini ya FIFA.

Umiliki wa makombe 5 ya Dunia unaipa klabu hio heshima kubwa sana, kiasi kwamba hata Timu nyingine za Taifa zikipangwa nayo huwa na hofu ya kupoteza mchezo.

RelatedPosts

UFARANSA, ARGENTINA ZAFUZU KUCHEZA FAINALI 2022

UFARANSA, ARGENTINA ZAFUZU KUCHEZA FAINALI 2022

Dec 15, 2022

ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI

Dec 14, 2022

URENO YATINGA ROBO FAINALI KIBABE

Dec 7, 2022
Load More

Katika Michuano ya Fainali ya Kombe la Dunia inayofanyika nchini Qatar, Brazil amekutana na Timu ya Taifa ya nchini Serbia ambapo katika kipindi ya kwanza walitoka sare ya bila kufungana 0-0 HF lakini baada ya kurejea kipindi cha pili Brazil ilibadilisha kabisa hali ya mchezo na kufunga goli 2-0 FT (yaliyofungwa na Richarlison Andrade).

Aina ya chezo ulivyokuwa kipindi cha pili (ni Pira Biriani), umewapa hamasa kubwa mashabiki wa timu ya Brazil kuona ushindi wa Michuano hii upo hivyo wanaona kama wapewe kabisa Kombe hilo mapema.

ADVERTISEMENT

Ndio maana, mashabiki wa Timu ya Taifa ya Brazil wamejivunia kwa ushindi huo mzuri walioupata dhidi ya Serbia kiasi kwamba kupitia Comments zao katika kurasa mbalimbali za mitandaoni wanaona huu ni wasaa wa kutwaa ubingwa huu kwa mara nyingine na kuweza kufikisha jumla ya makombe 6 katika akiba yao ya rekodi Makombe ya Dunia. 

ImageFIFA World Cup 2022: Brazil fans celebrate team's victory in opening match against Serbia

ADVERTISEMENT

Related

Tags: FIFA WORLD CUP 2022
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

SAKA AIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI MACHI EPL
MICHEZO

SAKA AIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI MACHI EPL

by ALFRED MTEWELE
Mar 31, 2023
HAWA HAPA NYOTA WANAOTAZAMWA ZAIDI KUTUA MAN ‘U’
MICHEZO

HAWA HAPA NYOTA WANAOTAZAMWA ZAIDI KUTUA MAN ‘U’

by ALFRED MTEWELE
Mar 31, 2023
CHELSEA YATAKA PAUNI MIL. 70 MAUZO YA MOUNT
MICHEZO

CHELSEA YATAKA PAUNI MIL. 70 MAUZO YA MOUNT

by ALFRED MTEWELE
Mar 31, 2023
TAIFA STARS YAAHIDI KUENDELEZA ILIPOISHIA
MICHEZO

TAIFA STARS YAAHIDI KUENDELEZA ILIPOISHIA

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
NAIBU WAZIRI “FA” AIUNGA MKONO TAIFA STARS, AFCON 2023
MICHEZO

NAIBU WAZIRI “FA” AIUNGA MKONO TAIFA STARS, AFCON 2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In