ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MAZIWA YA NG’OMBE HUCHOCHEA KISUKARI KWA WATOTO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 14, 2022
in HABARI, MICHEZO
0
MAZIWA YA NG’OMBE HUCHOCHEA KISUKARI KWA WATOTO
0
SHARES
51
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

Leo Novemba 14 ikiwa ni Siku ya Kisukari Duniani, imeelezwa kuwa kuwanywesha watoto wachanga maziwa ya ng’ombe badala ya maziwa ya mama ni moja ya sababu zinazowaweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa Kisukari.

 

 

–

 

Daktari George Mkira kutoka Hospitalu ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ametoa tahadhari hiyo na kuwaasa wazazi kuhakikisha watoto wachanga wanatumia maziwa ya mama, na kuepuka kasumba na imani potofu zinazowafanya kutowanyonyesha watoto wao.

 

 

–

 

“Watoto siku hizi wanaanza kulishwa maziwa ya ng’ombe baada tu ya kuzaliwa, hii ni risk [hatari] kubwa ya wao kuja kupata Kisukari baadaye,” amesema Mkira wakati akitaja mambo yanayochangia mtu kupata ugonjwa wa Kisukari.

ADVERTISEMENT

 

 

–

 

Amesema Kisukari ni ugonjwa ambao mwili unakuwa na sukari lakini unashindwa kuitumia ambako kunasababishwa na kukosekana kwa kichocheo ambacho ni homoni ya Insulin au homoni hiyo kutokufanya kazi kwa ufanisi.

 

 

–

 

Aidha, ametaja sababu nyingine zinazochangia ugonjwa huo kuwa ni ulaji (vyakula vya mafuta) na unywaji pombe usiofaa, tabia bwete (kutokufanya mazoezi), uzito uliopindukia, maambukizi ya baadhi ya virusi ambavyo hushambulia Insulin na sababu za kijenetia.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

Ameeleza kuwa Serikali imeziwezesha hospitali nchini kukabiliana na ugonjwa huo kwa kuhakikisha uwepo wa madaktari bingwa, dawa na vipeperushi vinavyotoa elimu kwa wananchi ambao tayari wana ugonjwa huo na ambao hawana ili kujikinga.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In