Mchezaji mahiri anayekipiga mnamo klabu ya Yanga nchini Tanzania, Stephane Aziz Ki anatarajiwa kukosa kutocheza mechi tatu mfululizo zilizopo katika ratiba ya mtanange wa soka ya Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kutokana na kuhusiswa moj kwa moja na kufungiwa pamoja na kupigwa faini na Bodi ya Ligi kuu ya Mpira wa Miguu Tanzania kwa kosa la kutoonyesha ushirikiano mzuri katika siku ya Mchezo “Derby ya Kariakoo” dhidi ya wapinzani wao wa klabu ya Simba SC. Zifuatazo ndiyo mechi atakazokosekana ikicheza klabu ya Yanga dhidi ya;
• Kagera Sugar
ADVERTISEMENT
• Singida Big Stars
• Dodoma Jiji
ADVERTISEMENT