ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, October 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MKAZO JUU YA UJENZI WA SEKONDARI

Kagera, Tanzania

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Nov 1, 2022
in HABARI
0
MKAZO JUU YA UJENZI WA SEKONDARI
0
SHARES
79
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

DK. MSONDE APONGEZA WALIMU NA VIONGOZI WA ELIMU SINGIDA

DK. MSONDE APONGEZA WALIMU NA VIONGOZI WA ELIMU SINGIDA

Jul 12, 2023

KAIRUKI ATAKA UFANISI SEKTA YA ELIMU

Jul 6, 2023

Haya hapa Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha tano, 2023

Jun 11, 2023
Load More
Serikali imeweka mikakati ya kuhakikisha ujenzi wa shule ya wasichana Kitaifa inayojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe unakamilika ifikapo Desemba 30, 2022.
Akiongea na Viongozi wa Mkoa wa Kagera, Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Wakandarasi na baadhi ya Watendaji wa Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati wa kikao hicho ofisini kwake Jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mheshimiwa Angela, amewaagiza Viongozi hao kuhakikisha ujenzi wa shule hiyo ya bweni ya wasichana wilayani Karagwe unakamilika ndani ya muda uliopangwa ambao ni Desemba 30, 2022.
Waziri Kairuki amefanya kikao hicho ili kuweka mkakati wa pamoja wa kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kwa wakati.
“napenda pia nipate taarifa ya uendelevu wa ujenzi wa majengo hayo ya shule ya sekondari kwa kila hatua, kila mwisho wa wiki, mimi nawashukuru tukatekeleze mikakati tuliyokubaliana” amesema Waziri Kairuki.
Kikao hicho kimekuja kufuatia kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) chini ya Mwenyekiti wake Abdallah Chaurembo kilichopitia utekelezaji wa ujenzi wa shule mpya za sekondari unaotekelezwa chini ya Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) na kubaini kuwa ujenzi wa shule ya bweni ya wasichana Kitaifa inayojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe hauridhishi na hivyo Serikali ni lazima ichukue hatua za haraka kukamilisha malengo yaliyowekwa.

May be an image of 6 people, people sitting and indoor

Related

Tags: OFISI YA RAIS TAMISEMI
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In