ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, June 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MUSK AMFUTA KAZI MFANYAKAZI ALIYEMKOSOA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 17, 2022
in HABARI
0
MUSK AMFUTA KAZI MFANYAKAZI ALIYEMKOSOA
0
SHARES
83
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

Jun 1, 2023

MAYELE;- TUNAENDA KUSHINDA KWAO USM ALGER

May 31, 2023

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

May 31, 2023
Load More
Mmiliki wa Twitter, Elon Musk aliingia kwenye mzozo na Mhandisi wa programu za Kompyuta kwenye mtandao wa Twitter hali iliyopelekea Bosi huyo wa Twitter kutweet “amefutwa kazi” lakini Mhandisi huyo alithibitisha kuwa alipoteza mawasiliano na mfumo wa ndani wa Twitter.
–
Kwa mujibu wa ripoti tajiri huyo namba moja Duniani aligombana hadharani na idadi kubwa ya waajiriwa wa mtandao huo juu ya mwenendo wake ikiwemo kumfuta kazi Mhandisi Eric Frohnhoefer hadharani.
–
Hatua hiyo imekuja baada ya Frohnhoefer kuthibitisha kuwa Musk alikosea juu ya madai kwamba Twitter ilikuwa ikiendeshwa kutokana na maneno ya Bilionea huyo.
–
Inaelezwa kuwa siku ya Jumanne idadi kubwa ya waajiriwa wa kampuni hiyo walifutwa kazi kwa kutumia ujumbe kupitia email uliosomeka “tabia yako imekiuka sera za kampuni”
–
Vyanzo vimeiambia CNN kwamba wafanyakazi katika siku za hivi karibuni walikuwa wazi sana kumkosoa Musk katika Slack ya kampuni. (CNN imejaribu kuwasiliana na wafanyakazi waliofutwa kazi ili kuthibitisha.
–
Akijibu juu ya tweet juu ya taarifa ya kuwafuta kazi waajiriwa hao siku ya Jumanne Musk alisema:- “Ningependa kuomba radhi kwa kuwafuta kazi hawa wataalamu. Talanta zao zisizo na kipimo zitakuwa na manufaa kwingineko.”
–
Kufuatia hatua hiyo, Musk sasa anaendesha Twitter kwa usaidizi wa marafiki zake Jason Calacanis na David Sacks pamoja na wakili wake binafsi Alex Spiro.
–
Inaelezwa pia kuwa anawatumia wahandisi kwa mkopo kutoka kwa baadhi ya makampuni yake mengine, ikiwa ni pamoja na Tesla (TSLA).

 

 

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM
HABARI

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU
HABARI

MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
YALIYOJIRI KWENYE KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 21, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO MEI 31, 2023

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
HABARI

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa  mkoani Tabora
HABARI

TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa mkoani Tabora

by I am Krantz
May 30, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In