ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

RAIS WA FIFA ATAKA VITA YA UKRAINE NA URUSI KUSITISHWA KIPINDI CHA KOMBE LA DUNIA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 16, 2022
in HABARI
0
RAIS WA FIFA ATAKA VITA YA UKRAINE NA URUSI KUSITISHWA KIPINDI CHA KOMBE LA DUNIA
0
SHARES
45
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

 

 

Rais wa FIFA, Gianni Infantino ametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Ukraine na Urusi wakati wa Kombe la Dunia la FIFA.

 

 

 

–

 

 

 

 

Mgogoro kati ya Urusi na Ukraine umeendelea kwa muda mrefu sasa, huku Warusi wakiwa tayari wamepigwa marufuku kushiriki Kombe lijalo la Dunia nchini Qatar.

 

 

 

–

 

 

 

Wakati mzozo ukiendelea, Infantino amehimiza kusitishwa kwa mapigano wakati wa mashindano hayo.

 

 

 

–

 

 

 

Rais wa FIFA alikuwepo wakati wa chakula cha mchana jana Jumanne kilichohusisha viongozi wa mataifa makubwa ya kiuchumi ya G20 na wakati huo, alitoa wito kwa nchi hizo mbili kuleta usitishaji wa muda wa mapigano na kutumia Kombe la Dunia kama ‘sehemu ya kudumisha amani’

 

 

–

 

 

 

“Ombi langu, mfikirie juu ya usitishaji vita kwa muda wa mwezi mmoja, kwa muda wote wa Kombe la Dunia” alisema

ADVERTISEMENT

 

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

 

Infantino alisisitiza kwamba Soka linaweza kutumika kama njia ya kuleta amani duniani, kwa matumaini kwamba michuano hiyo inaweza kuwa kichocheo cha sehemu ya amani kwa Ukraine na Urusi.

 

 

 

–

 

 

Mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia utawakutanisha Qatar dhidi ya Ecuador siku ya Jumapili.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In