ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Rushwa ya Ngono Yazidi Kuota Mizizi

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 29, 2022
in HABARI
0
Rushwa ya Ngono Yazidi Kuota Mizizi
0
SHARES
19
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkurugenzi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Dk Rose Reuben amesema tatizo la rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi linazidi kuota mizizi.

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More

Wakati nchi ya Tanzania ikiungana pamoja na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wadau wa masuala ya jinsia wameitaka Serikali kuridhia mkataba wa kimataifa unapingana na rushwa ya ngono sehemu za kazi kwa maana imezidi kukithiri zaidi ya hapo awali.

ADVERTISEMENT

Kwa mujibu wa wadau hao, changamoto ya rushwa ya ngono imekuwa ikikua kila pachao huku wanawake na watoto wa kike wakiwa ndiyo wahanga wakubwa katika hilo.

Dk. Rose Reuben amesema “Tulifanya utafiti kuangalia rushwa ya ngono kwenye vyombo vya habari, tukabaini huko hali ni mbaya na bahati mbaya ni kwamba hawazungumzi. Kati ya waliohojiwa asilimia 52 hawakuwa wazi kusema kuhusu hilo,” 

Akizungumzia hilo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Kupambana na Vitendo vya Ukatili wa kijinsia (Mkuki), Wakili Anna Kulaya amesema mkataba huo wa kimataifa utasaidia kuweka msimamo wa Serikali dhidi ya vitendo hivyo.

“Huu mkataba sio mbaya na hauna athari yoyote kwetu ndiyo maana tunaomba Serikali iuridhie ili tuwe na njia na mwongozo wa pamoja wa kukabiliana na changamoto hii,” amesema Anna.

ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In