ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SERIKALI YAAHIDI KUTOKUWA NA ONGEZEKO LA NAULI MIKOA 5

Arusha, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 22, 2022
in HABARI
0
SERIKALI YAAHIDI KUTOKUWA NA ONGEZEKO LA NAULI MIKOA 5
0
SHARES
68
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Image

ADVERTISEMENT

Serikali imewahakikishia wananchi wa mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Kilimanjaro na Arusha kuwa hakutakuwa na ongezeko la nauli ya treni inayopita katika mikoa hiyo ili kuwawezesha kufanya safari zao kwa urahisi hasa katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.

RelatedPosts

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

Mar 23, 2023

WAZIRI MKUU AHIMIZA UMAKINI MANUNUZI YA VIFAA VYA UJENZI WA MIRADI

Nov 30, 2022

DARAJA LA MITA 61 LAGHARIMU BILIONI 7.2

Nov 29, 2022
Load More
ADVERTISEMENT

Akizungumza jijini Arusha, baada ya kutembelea Stesheni ya reli ya kati Naibu Waziri Mwakibete amesema kuwa uwepo wa treni hiyo umerahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo baina ya Dar es Salaam na mikoa hiyo na hivyo Serikali inatarajia kuongeza idadi ya mabehewa ili kuwawezesha abiria wengi zaidi kutumia usafiri huo.

Related

Tags: Wizara ya ujenzi na uchukuzi
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In