ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

SHAKIRA KUTUMBUIZA, KOMBE LA DUNIA QATAR

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 12, 2022
in HABARI
0
SHAKIRA KUTUMBUIZA, KOMBE LA DUNIA QATAR
0
SHARES
94
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

Mar 20, 2023

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

Mar 20, 2023

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

Mar 20, 2023
Load More

Msanii maarufu mwenye asili ya Colombia Shakira anatarajiwa kutumbuiza kwenye ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Dunia 2022 jijini Doha.

 

 

 

–

 

 

Wasanii wengine ni pamoja na bendi maarufu ya Hip hop Black Eyed Peas na kundi maarufu kutokea Korea Kusini BTS. Shakira ametajwa kuwa ni Malkia wa Kombe la Dunia kwa upande wa soka hii ikiwa ni mara yake ya nne kutumbuiza.

 

 

 

–

 

 

ADVERTISEMENT

Mara ya kwanza alitumbuiza katika Kombe la Dunia 2006 nchini Ujerumani akiimba nyimbo zake maarufu za ”Hips Don’t Lie” na ” Bamboo” alizomshirikisha Wyclef Jean.

 

 

Mwaka 2010 alikuja na wimbo wa ”Waka Waka ”katika Kombe la Dunia nchini Afrika Kusini na mwaka 2014 alitumbuiza kwenye sherehe za kufunga Kombe la Dunia nchini Brazil na wimbo wake wa ”La la la la la’.

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

Hivi sasa Shakira anatamba kwa nyimbo zake kama ”Monotonia” na ”Te felicito” ambazo zimepokelewa kwa kishindo kikubwa kwenye majukwaa mbalimbali ya kidigitali.

 

 

–

 

 

Kwa upande mwingine Shakira anaufunga mwaka akiwa amezungukwa na taarifa mbalimbali za talaka yake kutoka kwa nyota wa soka Gerard Pique. Kwa wiki kadhaa sasa taarifa hizo zimekuwa zikitanda kwenye televisheni na mitandao ya kijamii.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In