ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

TRA, TAMISEMI KUJA NA MFUMO SHIRIKISHI WA KUKUSANYA KODI KWA WENYE NYUMBA ZA KUPANGA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Nov 17, 2022
in HABARI
0
TRA, TAMISEMI KUJA NA MFUMO SHIRIKISHI WA KUKUSANYA KODI KWA WENYE NYUMBA ZA KUPANGA
0
SHARES
114
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema katika kuhakikisha wanafikia malengo ya kukusanya mapato kwa wenye nyumba za kupanga, wako katika mchakato wa kushirikiana na TAMISEMI kuzitambua na kuziingiza kwenye mfumo maalumu nyumba hizo za kupanga kwa lengo la kukusanya kodi inayostahili.

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

 

 

–

 

 

Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar Es Salaam, Charles Bajungu aliyemwakilisha Kamishna wa Kodi za Ndani amesema wamebaini kuwepo kwa ukwepaji wa kodi hiyo kwa kiwango kikubwa huku sababu mojawapo ikiwa ni kukosekana kwa takwimu mahsusi ya nyumba hizo nchini.

 

 

 

ADVERTISEMENT

–

 

 

ADVERTISEMENT

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, Uledi Abbas Mussa amesema katika kuonesha shukrani zao kwa walipakodi bora, wameamua kutoa Tuzo kwa wadau hao, hafla inayotarajiwa kufanyika leo November 17, 2022.

 

 

 

–

 

Aidha amesema, kwa mwaka wa fedha 2022, TRA imefanikiwa kuvuka lengo la asilimia 14.6 walilojiwekea kwa kukusanya takribani shilingi trilioni sita kwa mwezi Julai hadi Septemba ikiwa ni lengo la ufanisi kwa asilimia 100.5.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In