ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, October 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

USHIRIKISHWAJI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Instanbul, Uturuki

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Nov 7, 2022
in HABARI
0
USHIRIKISHWAJI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
0
SHARES
50
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

RAIS SAMIA ANENA – “VIJANA WASIENDE ULAYA KUJITAFUTA ILI KUPATA MAISHA BORA”

RAIS SAMIA ANENA – “VIJANA WASIENDE ULAYA KUJITAFUTA ILI KUPATA MAISHA BORA”

Jul 26, 2023

RAIS SAMIA ATOA MIL. 2 KUMPONGEZA MAMA ANAYEJITOLEA KUWAKUMBATIA WATOTO NJITI

Jul 20, 2023

SERIKALI YAMPA AJIRA YA MKATABA MARIAM

Jul 20, 2023
Load More
May be an image of 4 people and people standing
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa wadau wote duniani kuona umuhimu wa wanaume kushiriki vita dhidi ya ukatili wa kijinsia unaowaathiri zaidi wanawake na watoto.
Waziri Dkt. Gwajima ameyasema hayo kwenye Mkutano wa Tano wa Kimataifa wa Wanawake na Haki uliofanyika Jijini Instabul, Uturuki tarehe 5 Novemba, 2022 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Akitoa salaam za Rais Samia, Waziri Dkt. Gwajima ameishukuru Serikali ya Uturuki kwa mwaliko wa mkutano huo wenye Kaulimbiu ya Kanuni za Kimataduni na Wanawake (Cultural Codes and Women), amesema maendeleo ya kijamii na vizazi siyo suala la wanawake tu ni la jamii yote.
Waziri Dkt. Gwajima ameeleza jitihada zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kuwezesha maendeleo yanayozingatia usawa wa kijinsia na kutokomeza ukatili kwa wanawake unaochangiwa na mila na desturi potofu.
Amesema, sambamba na kuendelea kutelekeza makubaliano ya kikanda na kimataifa kuhusu wanawake na maendeleo kuelekea usawa wa kijinsia wanawake wanaendelea kuwezeshwa kwenye elimu, uongozi wa kisiasa, kitaaluma na kijamii.
Amebainisha, uwiano wa uandikishaji wa watoto wa kiume na wa kike shule ya msingi kufikia 1:1 huku Serikali ikitekeleza mpango wa elimu bila ada kuanzia shule ya msingi hadi sekondari. Aidha, mpango wa kujenga Shule moja maalumu ya Sekondari kwa wasichana katika mikoa yote 26 nchini Tanzania kwa ajili ya kufundisha masomo ya sayansi, teknolojia, injinia na hesabu kwa kifupi (STEM) jambo ambalo litawainua watoto wa kike kielimu.
Kwa upande wa wanawake na uongozi Waziri Dkt. Gwajima ameueleza mkutano huo kuwa, Tanzania ipo mstari wa mbele katika kuwainua wanawake. Pamoja na takwa la Katiba ya Nchi kuwa 30% ya viti vya bunge ni viti maalumu kwa ajili ya wanawake na 33.3% ni viti maalumu vya madiwani wanawake, Rais Samia ameongeza idadi ya Mawaziri kamili wanawake hadi 9 huku akiwapa kuongoza Wizara nyeti kwa maendeleo ya Taifa.
Vilevile, Mabalozi Wanawake na Majaji wanawake wameongezeka
May be an image of 2 people and people standing

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In