ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Wanaume Watakiwa Kuripoti Wakifanyiwa Ukatili

Geita, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 30, 2022
in HABARI
0
Wanaume Watakiwa Kuripoti Wakifanyiwa Ukatili
0
SHARES
31
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Kwa takribani miezi 10 Halmashauri ya wilaya ya Geita imethibitisha kuwa imepokea taarifa 26 za vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, huku ikiwataka wanaume kutoa taarifa zao kwani wengi wao wamekuwa wakiona aibu kutoa taarifa hizo na kusababisha kukosa takwimu zilizokamilika kuhusiana na ukatili wanaofanyiwa.

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More

Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya wilaya ya Geita,Bi. Enedy Mwanakatwe kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, yenye kauli mbiu ya “Kila uhai una thamani”, huku baadhi ya wanaume wakielezea sababu za wao kutopata sauti zao.

ADVERTISEMENT

“Matukio ya ukatili yaliyotolewa taarifa ni 26, katika natukio hayo, ubakaji yamekuwa ni saba, ulawiti wawili na vipigo ni 17, pamoja na matukio hayo kutolewa taarifa na wanawake na watoto, lakini pia wanaume baadhi wamekuwa ni wahanga wa ukatili japokuwa hawatoi taarifa katika ofisi zetu na hivyo kukosa takwimu zao kwa urahisi”, amesema Mwanakatwe.

Kwa upande wake mwananchi wa mkoa huo amesema, “Sisi kama wanaume tunafanyiwa sana ukatili wa kijinsia na wanawake yani wake zetu lakini unashindwa kuanzia kwamba uende wapi kwa sababu sisi huwaga hawatujali sana, mnaowajali sana ni wanawake, sasa ninashindwa kuelewa labda kwa siku ya leo kwa kuwa waandishi mmekuja mimi lazima nitoe tu ya ukweli hata sisi tunateswa sana”, alisema Mashiri.

ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In