ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Zanzibar Hutegemea Pato lake kwa Asilimia 29.2% Kutokea Sekta ya Utalii

Zanzibar

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Nov 29, 2022
in HABARI
0
Zanzibar Hutegemea Pato lake kwa Asilimia 29.2% Kutokea Sekta ya Utalii
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

May be an image of 10 people, people sitting, people standing and indoorRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inategemea pato la nchi kwa asilimia 29.2% katika sekta ya Utalii huku akieleza kuwa Serikali imeweka hatua za makusudi katika mazingira wezeshi kwa kujumuisha sera,mifumo ya kitaasisi na kisheria ili sekta hiyo ikue kwa njia endelevu.

ADVERTISEMENT
Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo katika Kongamano la Kimataifa la 22 la WORLD 🌎 Travel &Tourism Council Global Summit lililofanyika jijini Riyadh,Saudi Arabia katika Hoteli ya Ritz-Carlton ambapo amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.
Aidha, alisema ukuaji wa sekta ya Utalii inatarajiwa kuwavutia wageni wenye uwezo mkubwa ambao watatumia fedha zaidi ili kulinda rasilimali za bahari pamoja na uchafuzi wa Mazingira.
Akifungua Kongamano hilo Waziri wa Utalii wa Saudia Arabia Mhe.Ahmed Al Khateeb amesema anatarajia majadiliano ya Kongamano hilo yatoe njia sahihi za kutatua changamoto za Utalii,Usafirishaji na Mazingira kwa ujumla.
Pia,Kongamano hilo limehudhuriwa na Viongozi kutoka Mataifa mbalimbali Duniani ambapo walipata fursa ya Kuchangia .
Kongamano hilo la 22 la WORLD 🌎 Travel &Tourism Council Global Summit limeongozwa na Mwandishi nguli nchini Marekani wa CBS ,Peter Greenberg ambaye alikuwa mtayarishaji wa filamu ya Royal Tour Tanzania
 28 November 2022
Ritz-Carlton, Riyadh Saudi Arabia
No photo description available.
President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Dr. Hussein Ali Mwinyi has said that the Revolutionary Government of Zanzibar depends on 29.2% of the country’s revenue in the tourism sector while explaining that the government has put deliberate steps in Mazi. Enhance policies, institutional and legal systems in this sector let that grow in a sustainable way.\n
President Dr. Mwinyi has said this at the 22nd International Conference of the WORLD 🌎 Travel & Tourism Council Global Summit that took place in Riyadh, Saudi Arabia at Ritz-Carlton Hotel where he has represented the President of the Republic of Tanzania Honorable. e. Samia Suluhu Hassan.
In addition, he said the growth of tourism sector is expected to attract potential visitors who will use more funds to protect marine resources as well as environmental pollution.
Opening the conference, the Minister of Tourism of Saudi Arabia Honorable Ahmed Al Khateeb has said that he expects the conference discussions to provide the right ways to solve the challenges of tourism, transportation and environment in general.
Also, the conference has been attended by leaders from different nations of the world where they got the opportunity to contribute.
The 22nd World 🌎 Travel & Tourism Council Global Summit has been led by the best writer in America of CBS, Peter Greenberg who was a producer of the film Royal Tour Tanzania.
📆 28 November 2022
📍Ritz-Carlton, Riyadh Saudi Arabia

 

RelatedPosts

Benki ya NMB Yasaini Makubaliano Kuiboresha Forodhani

Benki ya NMB Yasaini Makubaliano Kuiboresha Forodhani

Jan 20, 2023

Benki ya NMB Yaandaa Warsha ya Wakandarasi Zanzibar

Nov 16, 2022

Dk. Mwinyi Asisitiza Uelimishaji Kuhusu Uchumi wa Bluu

Nov 15, 2022
Load More
ADVERTISEMENT

Related

Tags: ZANZIBAR
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi
HABARI

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
November 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Oct   Dec »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In