ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI

Qatar

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 14, 2022
in MICHEZO
0
ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI
0
SHARES
28
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Argentina vs Croatia, World Cup 2022 Semi-Final - MATCH PREVIEW - YouTube

Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya michuno ya Fainali za Kombe la Dunia chini ya FIFA 2022 baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Croatia kwa jumla ya Goli 3-0.

RelatedPosts

UFARANSA, ARGENTINA ZAFUZU KUCHEZA FAINALI 2022

UFARANSA, ARGENTINA ZAFUZU KUCHEZA FAINALI 2022

Dec 15, 2022

URENO YATINGA ROBO FAINALI KIBABE

Dec 7, 2022

BRAZIL YAGUSWA NA MCHANGO WA PELE’

Dec 6, 2022
Load More

Magoli yalioofungwa na nyota Leonel Messi 34′(P) pamoja na Juli’an ‘Alvarez 39’, 69, yameifanya Argrntina kutinga mnamo hatua hio kibabe zaidi.

Ikumbukwe kuwa hii imekuwa ni moja ya Furaha kubwa kwa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina kushinda dhidi ya Croatia kwani katika rekodi za michuano ya fainali za kombe la Dunia Argentina iliwahi kutolewa na Croatia kwa ushindi wa bao 3 ilopelekea Argentina kushindwa endele na michuano ijayo.

Kwa sasa Argentina inasubiri timu mojawapo itakayoshinda katika mchezo wa nusu fainali kati ya Timu ya Ufaransa na Morocco ili kuweza kuchuana nayo vilivyo.

ADVERTISEMENT

2022 World Cup, semifinals: Argentina vs. Croatia - We Ain't Got No History

 

 

ADVERTISEMENT

Related

Tags: FIFA WORLD CUP 2022
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda
BIASHARA

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

by I am Krantz
Feb 3, 2023
ANDARE AYEW AJIUNGA NA NOTTINGHAM FOREST
MICHEZO

ANDARE AYEW AJIUNGA NA NOTTINGHAM FOREST

by Shabani Rapwi
Feb 3, 2023
YANGA YAJIBU TAMKO LA SPORTPESA ‘HATUKUBALIANI NA KASHFA HII’
MICHEZO

YANGA YAJIBU TAMKO LA SPORTPESA ‘HATUKUBALIANI NA KASHFA HII’

by Shabani Rapwi
Feb 2, 2023
Kocha Robertinho: “Tunategemea Kupanga Kikosi Kamili”
MICHEZO

Kocha Robertinho: “Tunategemea Kupanga Kikosi Kamili”

by ALFRED MTEWELE
Feb 2, 2023
Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma
HABARI

Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma

by I am Krantz
Feb 2, 2023
BRUNO GOMEZ, PLUIJM WAIBUKA BORA MWEZI JANUARI, LIGI KUU
MICHEZO

BRUNO GOMEZ, PLUIJM WAIBUKA BORA MWEZI JANUARI, LIGI KUU

by ALFRED MTEWELE
Feb 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In