ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Dkt. Dugange- Msicheleweshe Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo

Dodoma, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 7, 2022
in HABARI
0
Dkt. Dugange- Msicheleweshe Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo
0
SHARES
32
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

DKT. DUGANGE-95% YA ZABUNI ZA TARURA KAZI INAENDELEA

DKT. DUGANGE-95% YA ZABUNI ZA TARURA KAZI INAENDELEA

Jan 24, 2023

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Jan 24, 2023

DODOMA WAPONGEZWA KWA KUPIGA HATUA KWENYE ELIMU

Jan 23, 2023
Load More
May be an image of 4 people and indoor
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Dkt. Festo Dugange ameonesha kutoridhishwa na ujenzi wa zahanati ya Manchali B iliyopo Wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
Dkt. Dugange amefanya ziara hiyo mapema jana tarehe 06.12.2022 katika Halmashauri ya Chamwino mkoani Dodoma katika kijiji cha Manchali B huku akiwasisitiza Watendaji hao kuwa na utaratibu wa kujifanyia tathmini ya utendaji kazi kwani ni muda mrefu wamekaa na fedha za kuendeleza ujenzi bila sababu za msingi.
“hii ni changamoto kubwa kama tunaweza kukaa na milioni 50 ya zahanati kwa zaidi ya miezi 12 bila kukamilisha, nafikiri tunahitaji kujitathmini na kuchukua hatua, wananchi wanasubiri, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta fedha sisi kazi yetu ni kutekeleza na kuhakikisha miradi imekamilika na wananchi wanaanza kupata huduma” amesema Dkt. Dugange.
Amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt. Semistatus Mashimba kumweleza wamejipangaje ili itakapofika Desemba 12, 2022 zahanati 4 zilizopatiwa fedha ziwe zimekamilika ili ziweze kuanza kutoa huduma ya Afya kama inavyotarajiwa ambapo Mkurugenzi huyo alisema maelekezo yote wameyapokea na kwamba watayafanyia kazi ili zahanati hizo zianze kutoa huduma kwa wananchi.
Mganga Mkuu wa mkoa Dkt. Best Magoma amesema 2021/22022 mkoa ulipatiwa shilingi Bilioni 1.3 kwa ajili ya uendelezaji zahanati katika mkoa wa Dodoma na matarajio ifikapo tarehe 30 Desemba miradi yote iwe imekamilika lakini pia katika mwaka 2022/2023 mkoa umepata shilingi milioni 550 kwa ajili ya zahanati 11 na Halmashauri ya Chamwino wamepatiwa zahanati mbili zitakazokamilishwa.
Naye Peter Athman Afisa Afya akisoma taarifa ya zahanati ya kijiji cha Manchali B ambayo imejengwa kwa gharama ya shilingi milioni 93.5 amesema ujenzi wa jengo hili unahusisha nguvu za wananchi 3,522,000 ikihusisha ukusanyaji wa mawe, mchanga na kokoto, mapato ya ndani ya Halmashauri shilingi milioni 10 na shilingi milioni 50 fedha kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kumalizia jengo la zahanati lakini kwa sasa zahanati inakabiliwa na changamoto ya nyumba ya mtumishi.
Kwa upande wake Mheshimiwa Nelson Mtundu Diwani kata ya Manchali ameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha za ujenzi wa zahanati lakini ameiomba Serikali kuwajengea Kituo cha Afya ili kusogeza huduma kwani Kata yake inavyo vijiji vitano ambavyo havina kituo cha afya.
May be an image of 3 people and outdoors
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: OFISI YA RAIS TAMISEMI
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE
HABARI

MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In