ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DKT. GWAJIMA-2023 MWAKA WA KUIMARISHA MIFUMO YA USAWA WA KIJINSIA

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 5, 2022
in HABARI
0
DKT. GWAJIMA-2023 MWAKA WA KUIMARISHA MIFUMO YA USAWA WA KIJINSIA
0
SHARES
40
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More
May be an image of 6 people, people standing, people sitting, indoor and text that says 'Mission build transformative movement for gender ationand npowerment'
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema mwaka 2023 Serikali kupitia uratibu wa wizara yake inajielekeza kwenye kuimarisha na kuunganisha mifumo kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa ili kuongeza nguvu ya mapambano kwenye kudhibiti na kutokomeza ukatili wa kijinsia na watoto.
Waziri Dkt. Gwajima ameyasema hayo akifungua kongamano la wanawake na uongozi lenye lengo la kujadili ushiriki wa wanawake katika uongozi ili kutokomeza ukatili wa kijinsia, Desemba 02, 2022 jijini Dar es Salaam.
Amesema kuna haja ya kuzijengea uwezo endelevu Kamati za ulinzi wa wanawake na Watoto zilizopo ili zifanye kazi na wadau wa mitandao yote iliyoko kwenye jamii.
Amesema Serikali kwa kushirikiana na Wadau inatambua umuhimu wa kuwa na wanawake viongozi mahiri na kuwekeza rasilimali katika usawa wa kijinsia kama chachu ya kutokomeza ukatili wa kijinsia hivyo kamati hizo zikiimarishwa usawa wa kijinsia utafikiwa na kuondoa ukatili wa kijinsia.
Amebainisha kuwa Kamati za ulinzi wa wanawake na Watoto 18,186 kati ya 20,750 (asilimia 88) zimeanzishwa katika ngazi ya Taifa, Mkoa, Halmashauri, Kata na Kijiji kwa mwaka 2021/22.
“Tathmini ya MTAKUWWA 2017/2022 imeonesha kupungua kwa matukio ya ukatili wa kijinsia yaliyoripotiwa kwa asilimia 31 kutoka matukio 42,413 mwaka 2020 hadi 29,373 mwaka 2021. Matukio ya ukatili wa Watoto yamepungua kwa asilimia 28 kutoka matukio 15, 870 kwa mwaka 2020 hadi matukio 11,499 mwaka 2021, hata hivyo, tunatambua kuwa watu wengi bado hawatoi taarifa” amesema Waziri Dkt. Gwajima.
Aidha, amebainisha kuwa katika kusukuma mbele ajenda ya maendeleo yenye usawa wa Kijinsia nchi inatekeleza Jukwaa la Kizazi chenye Usawa ambapo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ni kinara wa eneo hilo.
Waziri Dkt. Gwajima ameongeza kwamba Serikali inatambua mchango mkubwa wa wanawake ambao ni zaidi ya nusu ya Watanzania wote na imeridhia mikataba mbalimbali ya Kimataifa na Kikanda inayoweka misingi ya usawa kwa binadamu, ambapo matokeo ya juhudi hizo ni kuona wanawake wakishika nafasi nyeti za uongozi kwa ufanisi nchini.
May be an image of 1 person, standing and text that says 'Wekeza katika Resources:'
May be an image of 7 people, people standing, people sitting and indoor
May be an image of 4 people, people standing and indoor
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In